Kitabu cha Zaburi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d Bot: Migrating 5 langlinks, now provided by Wikidata on d:q41064
No edit summary
Mstari 1:
[[File:Psalms scroll.PNG|thumb|right|Kitabu cha Zaburi kwa Kiebrania.]]
[[Image:Codex binding Louvre MR373.jpg|thumb|200px|"Mfalme Daudi aandikisha zaburi"; Funiko la Kitabu cha Zaburi kutoka [[karne ya 11]]; kazi ya [[uchongaji]] wa [[meno]] ya [[ndovu]].]]
'''Kitabu cha '''Zaburi''' ni kimojawapo kati ya [[vitabu]] vya [[Tanakh]] (yaani [[Biblia ya Kiebrania]]) na kwa hiyo pia vya [[Agano la Kale]] ambalo ni sehemu ya kwanza ya [[Biblia ya Kikristo]].
 
Kitabu cha '''Zaburi''' ni kimojawapo kati ya vitabu vya [[Tanakh]] (yaani [[Biblia ya Kiebrania]]) na kwa hiyo pia vya [[Agano la Kale]] ambalo ni sehemu ya kwanza ya [[Biblia ya Kikristo]].
 
Kama vitabu vingine vyote vya [[Biblia]], hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa [[historia ya wokovu]] ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya [[ufunuo]] wa [[Mungu]] kwa [[binadamu]].
 
==Yaliyomo==
Kina [[sura]] 150; kila sura ni [[zaburi]] moja. Zaburi ni aina ya [[sala]] iliyotungwa kama [[shairi]] au [[wimbo]]. Zaburi zinafundisha jinsi [[binadamu]] awezavyo kuzungumza na [[Mwenyezi Mungu]].
 
Kwa hiyo kitabu cha Zaburi kinatumiwa na [[Wayahudi]] na [[Ukristo|Wakristo]] kama kitabu cha [[sala]].
 
[[Mada]] za zaburi hasa ni [[sifa]] za [[Mungu]], [[shukrani]], ma[[ombolezo]], [[huzuni]] na [[toba]], [[furaha]] na [[imani]], [[elimu]] ya ki[[dini]], na [[ombi]] la [[ushindi]] dhidi ya maadui wasiomcha Mungu.
Zaburi nyingi zimetungwa kama shairi la [[Kiebrania]]; mara nyingi fungu moja linarudia wazo la fungu lililopita, k.m. katika Zaburi 22, mistari 1-2:
Line 21 ⟶ 20:
:napiga yowe usiku, lakini nafuu sipati.
 
Katika kitabu hicho zaburi kadhaa zimewekwa pamoja: kwa mfano, Zaburi za [[Wakorahi]] (baadhi zikiwa 42—49), za [[Asafu]] (73—83), za kumsifu Mungu aliye [[Mfalme]] au Mtawala wa wote (93—99) au Zaburi za [[hija|kuhiji]] (120—134).
 
Baadaye Zaburi ziligawanywa katika vitabu vitano: 1—41; 42—72; 73—89; 90—106; 107—150. Kila kimojawapo kinamsifu Mungu katika mstari wake wa mwisho: 41:13; 72:19; 89:52; 106:48; na Zaburi yote ya 150. Inawezekana kuwa mgawanyo huo ulifanyika ili kuiga mgawanyo wa vitabu vitano vya kwanza vya Biblia, yaani [[Torati]].
Line 36 ⟶ 35:
 
===Zab 8===
Wewe, Mungu, Bwana wetu,<br/>
 
jinsi lilivyo tukufu jina lako duniani mwote!<br/>
Wewe, Mungu, Bwana wetu,
Wewe umeuweka utukufu wako mbinguni.<br/>
jinsi lilivyo tukufu jina lako duniani mwote!
Vinywani mwa watoto wachanga na wanyonyao<br/>
Wewe umeuweka utukufu wako mbinguni.
umeiweka misingi ya nguvu;<br/>
Vinywani mwa watoto wachanga na wanyonyao
kwa sababu yao wanaoshindana nawe;<br/>
umeiweka misingi ya nguvu;
uwakomeshe adui na mijilipiza kisasi.<br/>
kwa sababu yao wanaoshindana nawe;
Nikiziangalia mbingu zako, kazi ya vidole vyako,<br/>
uwakomeshe adui na mijilipiza kisasi.
mwezi na nyota ulizoziratibisha;<br/>
Nikiziangalia mbingu zako, kazi ya vidole vyako,
mtu ni kitu gani hata umkumbuke,<br/>
mwezi na nyota ulizoziratibisha;
na binadamu hata umwangalie?<br/>
mtu ni kitu gani hata umkumbuke,
Umemfanya mdogo punde kuliko Mungu;<br/>
na binadamu hata umwangalie?
umemvika taji ya utukufu na heshima;<br/>
Umemfanya mdogo punde kuliko Mungu;
umemtawaza juu ya kazi za mikono yako;<br/>
umemvika taji ya utukufu na heshima;
umevitia vitu vyote chini ya miguu yake.<br/>
umemtawaza juu ya kazi za mikono yako;
Kondoo, na ng’ombe wote pia;<br/>
umevitia vitu vyote chini ya miguu yake.
Kondoonaam, na ng’ombewanyama wotewa piakondeni;<br/>
naamndege wa angani, na wanyamasamaki wa kondenibaharini;<br/>
ndegena wakila angani, nakipitiacho samakinjia waza baharini;.<br/>
Wewe, Mungu, Bwana wetu,<br/>
na kila kipitiacho njia za baharini.
Jinsi lilivyo tukufu jina lako duniani mwote!<br/>
Wewe, Mungu, Bwana wetu,
Jinsi lilivyo tukufu jina lako duniani mwote!
 
===Zab 123===
Nimekuinulia macho yangu, wewe uketiye mbinguni.<br/>
Kama vile macho ya watumishi kwa mkono wa bwana zao;<br/>
kama macho ya mjakazi kwa mkono wa bibi yake;<br/>
hivyo macho yetu humwelekea Bwana, Mungu wetu,<br/>
hata atakapoturehemu.<br/>
Uturehemu, Ee Bwana, uturehemu sisi,<br/>
kwa maana tumeshiba dharau.<br/>
Nafsi zetu zimeshiba mzaha wa wenye raha,<br/>
na dharau ya wenye kiburi.<br/>
 
===Zab 130===
Ee Bwana, toka vilindini nimekulilia;<br/>
Bwana, uisikie sauti yangu.<br/>
Masikio yako na yaisikilize sauti ya dua zangu.<br/>
Bwana, kama Wewe ungehesabu maovu,<br/>
Ee Bwana, nani angesimama?<br/>
Lakini kwako kuna msamaha, ili Wewe uogopwe.<br/>
Nimemngoja Bwana, roho yangu imemngoja,<br/>
na neno lake nimelitumainia.<br/>
Nafsi yangu inamngoja Bwana,<br/>
kuliko walinzi waingojavyo asubuhi,<br/>
naam, walinzi waingojavyo asubuhi.<br/>
Ee Israeli, umtarajie Bwana;<br/>
maana kwa Bwana kuna fadhili,<br/>
na kwake kuna ukombozi mwingi.<br/>
Yeye atawakomboa Israeli na maovu yake yote.<br/>
 
==Viungo vya Njenje==
*[http://www.biblephone.net/mobile/index.php/swa/2/Psal/ Kitabu cha Zaburi katika Biblia (Union Version)]
{{mbegu-Biblia}}
 
{{DEFAULTSORT:Zaburi}}
[[Category:Vitabu vya Agano la Kale]]