Ajali : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Partial stadium collapse at Big12 college football championship - 2005.JPG|right|thumb|Kitalu cha benchi chaanguka katika mashindano ya soka ya vyuo ya Big12, kikiwabwaga mashabiki.]]
'''Ajali''' (kutoka neno la [[Kiarabu]]; kwa [[Kiingereza]]: "accident" au "uninentional injury") ni [[tukio]] maalumu linalotambulika na lisilotarajiwa, geni na lisilotakikana ambalo hutokea katika [[muda]] na [[mahali]] fulani bila [[sababu]] au [[kusudi|makusudi]] dhahiri, lakini husababisha [[dhara|madhara]] yaliyo wazi, hasa [[Kifo|vifo]].
Ajali hudokeza kwa ujumla matokeo mabaya ambayo labda yangeweza kuepukwa au kukingwa ikiwa matukio yaliyosababisha ajali hiyo yangetambuliwa na kurekebishwa kabla ya tukio hilo.
Mstari 27:
=== Kwa vyombo vya usafiri ===
Tunatakiwa tuendeshe [[vyombo vya usafiri]] kwa uangalifu ili kupunguza ajali
* [[Ajali ya baiskeli]]
* [[Ajali ya pikipiki]]
Mstari 45:
** [[Orodha ya ajali za ndege]]
* [[Baiskeli]]
** [[Ajali ya
** [[Usalama wa
* [[Pikipiki]]
** [[Ajali ya pikipiki]]
Mstari 53:
** [[Usalama wa gari]]
* [[Reli]]
** [[Ajali
** [[Orodha ya vifo vilivyosababishwa na ajali za reli]]
* [[Orodha ya ajali za kinyuklia]]
Mstari 61:
* [[Usalama]]
* [[Uhandisi wa usalama]]
* [[Usalama kazini]]
** [[Orodha ya usalama kazini]]
|