Vietnam Kaskazini : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Svg version (GlobalReplace v0.6.5) |
No edit summary |
||
Mstari 3:
[[Picha:Flag_of_Vietnam.svg|thumb||Bendera ya Vietnam Kaskazini 1955-1976]]
'''Jamhuri ya Kidemokrasia ya Vietnam''' au '''Vietnam Kaskazini''' (kwa Kivietnam: Việt Nam Dân Chủ Cộng Hòa) ilikuwa jina la dola katika kaskazini ya [[Vietnam]] ya leo kati ya 1946 na 1976.
Jamhuri hii ilitangazwa na [[Ho Chi Minh]] baada ya mwisho wa [[Vita Kuu ya Pili ya Dunia]] mnamo tar. [[2 Septemba]] [[1945]] mjini Hanoi katika kaskazini ya koloni
Tangu 1946 [[Ufaransa]] iliyowahi kufukuzwa
Hivyo Vietnam Kaskazini ilibaki kama nchi ya kikomunisti na Ho Chi Minh alikuwa rais.
Tangu 1960 uongozi wa Vietnam Kaskazini uliamua kujenga harakati ya [[Vietkong]] katika Vietnam Kusini kwa shabaha ya kupindua serikali ya Kusini na kuunganisha nchi yote. Hii ilisababisha vita ya wenyewe kwa wenyewe ya kusini na kulazimisha kuingia kwa Marekani katika vita hiyo.
Kuanzia 1964 Vietnam Kaskazini ilituma wanajeshi wengi kwenda kusini waliofaulu kushinda vita na kuteka [[Saigon]] mwaka 1975 wakiunda serikali ya kikomunisti ya kusini. Mwaka 1976 sehemu zote mbili za Vietnam ziliunganishwa kwa jina la Jamhuri ya Kijamii ya Vietnam.
==Viungo vya nje==
*[http://www.mtholyoke.edu/acad/intrel/vietdec.htm Azimio la Uhuru wa Vietnam Kaskazini]
*{{YouTube|vVIudsO4OJ0|rekodi ya azimio hilo}}
*{{YouTube|Bycg7n9pu4o|video ya sherehe za uhuru}}
{{mbegu-jio-Asia}}
|