Isaac Newton : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:GodfreyKneller-IsaacNewton-1689.jpg|thumbnail|Isaac Newton]]
[[Picha:Newton-Principia-Mathematica 1-500x700.jpg|thumb|right|200px|Kitabu chake ''Principia Mathematica'', [[1686]].]]
'''Isaac Newton''' (
Anakumbukwa [[duniani]] kote kutokana na michango yake mbalimbali katika [[sayansi]].
Ndiye aliyegundua [[tawi]] la [[kalkulasi]] (sambamba na [[Gottfried Leibniz|Leibniz]]), [[nadharia ya mwendo]] na ya [[uvutano]] (graviti).
Mchango mwingine wa Isaac Newton upo katika [[nadharia ya mwanga]], akitumia [[prisma]] kuonyesha jinsi [[rangi]] zinavyotokea.
Alichangia pia
Newton alipata [[shahada]] yake ya kwanza mwaka [[1665]] na ile ya [[uzamili]] mwaka [[1668]].
Alizaliwa katika [[familia]] ya [[Anglikana|Kianglikana]] akatumia [[muda]] mwingi kufanya [[utafiti]] wa [[Biblia]] na [[theolojia
[[Tarehe]] [[10 Desemba]] [[1682]] alimuandikia [[Richard Bentley]]: «Siamini [[ulimwengu]] unaweza kuelezwa na sababu za [[maumbile]] tu, bali nalazimika kuuona kama [[tunda]] la [[hekima]] na [[ubunifu]] vya mmoja mwenye [[akili]]». Hata hivyo, yeye binafsi hakukubali mafundisho juu ya [[Utatu]] wa [[Mungu]].
==Viungo vya nje==
{{Commons|Isaac Newton}}
{{Mbegu-mwanasayansi}}
|