Mfanyabiashara : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
==Mfanyabiashara==
'''Mfanyabiashara''' ni mtu ambae anajihusisha na shughuli za kibiashara ,kuuza na kununua bidhaa kwa lengo la kupata faida. Pia mfanyabiashara hutumia muunganiko wa mtu ,hela ,akili na uwepo wake na mtaji ili kuweza kujiinua au kupata maendeleo ya kiuchumi <ref>https://www.bing.com/search?q=businessman+wikipedia&form=EDGNTT&qs=AS&cvid=4b9d88fb67c74ec8be5873c5093db8ad&cc=US&setlang=en-US</ref>. [[Mjasiliamali]] ni mfano mzuri wa mfanyabiashara
[[Jamii:Mjasiliamali]]
|