Kitabu cha Yona : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q178819 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Kitabu cha Yona''' ni kimojawapo kati ya [[vitabu]] vinavyounda [[Tanakh]] (yaani [[Biblia ya Kiebrania]]), kwa hiyo pia [[Agano la Kale]], sehemu ya kwanza ya [[Biblia ya Kikristo]].
== Mahali pake katika Biblia ==
Tokea zamani kitabu hicho kimepangwa kati ya "[[Manabii wadogo]]" kwa sababu [[mhusika]] mkuu amepewa [[jina]] la [[nabii]] mmojawapo wa zamani.▼
Hata hivyo hakileti [[ujumbe]] wa ki[[nabii]], bali kinafanana zaidi na [[hadithi]] zenye fundisho la [[imani]] au [[maadili]], kama vingine vilivyopangwa kati ya "vitabu vya historia". ▼
▲Tokea zamani kitabu hicho kimepangwa kati ya "Manabii wadogo" kwa sababu mhusika mkuu amepewa jina la nabii mmojawapo wa zamani.
Habari ni kwamba [[mtu]] huyo, alipopata [[wito]] wa kinabii kwa faida ya [[Waashuru]] wa [[mji]] wa [[Ninawi]], maadui wa [[Israeli]], alijaribu kuukwepa.▼
▲Hata hivyo hakileti ujumbe wa ki[[nabii]], bali kinafanana zaidi na hadithi zenye fundisho la imani au maadili, kama vingine vilivyopangwa kati ya "vitabu vya historia".
Baadaye, alipolazimika kuwatangazia [[adhabu]] ya [[Mwenyezi Mungu]], alionyesha [[huzuni]] kali kwa kuona wametubu na kuhurumiwa na [[Mungu]].▼
▲Habari ni kwamba mtu huyo, alipopata wito wa kinabii kwa faida ya [[Waashuru]] wa mji wa [[Ninawi]], maadui wa Israeli, alijaribu kuukwepa.
▲Baadaye, alipolazimika kuwatangazia adhabu ya Mungu, alionyesha huzuni kali kwa kuona wametubu na kuhurumiwa na Mungu.
== Lengo la kitabu ==
Lengo kuu la kitabu ni kupambana na utaifa wa [[Wayahudi]] uliowafanya wadhani Mungu anatakiwa kuwapenda wao tu, hata kusikitikia [[huruma]] yake kwa watu wa [[mataifa]].▼
▲Lengo kuu la kitabu ni kupambana na utaifa wa Wayahudi uliowafanya wadhani Mungu anatakiwa kuwapenda wao tu, hata kusikitikia huruma yake kwa watu wa mataifa.
== Mwangwi katika [[Agano Jipya]] ==
Yona anatajwa katika [[Injili]] kuhusiana na [[ishara]] yake iliyomuashiria [[Yesu]].▼
Kwanza, kwa kuhubiri pasipo [[miujiza]], alionyesha mtu anapaswa kupokea ujumbe wa Mungu bila ya kumdai ishara inayothibitisha [[ukweli]] wake.▼
▲Yona anatajwa katika Injili kuhusiana na ishara yake iliyomuashiria [[Yesu]].
Pili, kwa kuwemo [[siku]] [[tatu]] [[Tumbo|tumboni]] mwa [[nyangumi]], alifanywa ishara ya [[Yesu Kristo]] aliyekaa hadi siku ya tatu ndani ya [[kaburi]].▼
▲Kwanza, kwa kuhubiri pasipo miujiza, alionyesha mtu anapaswa kupokea ujumbe wa Mungu bila ya kumdai ishara inayothibitisha ukweli wake.
▲Pili, kwa kuwemo siku tatu tumboni mwa nyangumi, alifanywa ishara ya [[Yesu Kristo]] aliyekaa hadi siku ya tatu ndani ya kaburi.
== Ufafanuzi wake ==
Kama vitabu vingine vyote vya [[Biblia]], hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa [[historia ya wokovu]] ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya [[ufunuo]] wa [[Mungu]] kwa [[binadamu]].
Line 35 ⟶ 31:
{{DEFAULTSORT:Yona}}
{{Biblia AK}}
{{mbegu-Biblia}}
[[Jamii:Vitabu vya Agano la Kale]]
|