Biafra : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
svg
Mstari 1:
[[Picha:Biafra independent state map-en.PNGsvg|thumb|300px|Ramani ya Biafra]]
[[Picha:Flag of Biafra.svg|thumb|Bendera ya Biafra]]
 
'''Biafra''' ilikuwa jamhuri iliyojitenga na [[Nigeria]] kati ya [[1967]] hadi [[1970]] iliyotambuliwa na nchi chache tu na kurudishwa Nigeria baada ya vita kali. Eneo la Biafra ilikuwa katika kusini-mashariki ya Nigeria inayokaliwa na [[Waigbo]] hasa wakati ule lilitwa "Mkoa wa Mashariki" lililokuwa moja kati ya mikoa mitatu ya Nigeria baada ya uhuru.