Kaunti ya Kiambu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 50:
Kaunti ina vyanzo kadhaa vya maji.
*[[Chanzo cha maji]] cha Nairobi ni chanzo cha [[Mto Nairobi]], [[Mto Gitaru]], [[Mto Gitahuru]], [[Mto Karura]], [[Mto Ruirwaka]],
*Chanzo kingine ni chanzo cha [[Mto Kamiti]] na [[Mto Ruiru]] ambacho huwa na [[Mto Riara]], [[Mto Kiu]], [[Mto Makuyu]], [[Mto Bathi]], [[Mto Gatamaiyu]]
*Chanzo cha maji cha tambarare za Aberdare ni chanzo cha [[Mto Thiririka]] na [[Mto Ndarugu]].
*Chanzo cha nne ni chanzo cha [[Mto Chania (Thika)|Mto Chania]] na matawimto yake: [[Mto Thika]] na [[Mto Kariminu]], inayotoka [[Mlima Kinangop]]. Mito hii ni [[Tawimto|matawimto]] ya [[Mto Athi]].<ref name=":0" />
|