Mvutano : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 2:
Mawazo ya [[wachoraji]] kuhusu kani ya mvutano.]]
[[Picha:ParabolicWaterTrajectory.jpg|thumbnail|Mwendo wa [[maji]] yanayotoka kwenye [[nozeli]] kuelekea juu unabadilishwa mwelekeo wake kwa umbo la [[parabola]] kutokana na nguvu ya graviti ya dunia.]]
'''Graviti''' (kutoka [[Kiingereza]]: "gravity"; pia: '''kani ya mvutano''', '''nguvu za uvutano''', '''nguvu mvutano''') ni [[kani]] ya uvutano iliyopo kati ya [[gimba|magimba]] yote ya [[ulimwengu]]. Kila gimba lenye [[masi]] linavuta magimba yote mengine yenye masi.
Hii ndiyo sababu ya kwamba tunatembea [[
Tukitupa [[jiwe]] hewani litaanguka chini. Hii ni kwa sababu kani ya [[mkono]] ilipeleka jiwe kwenda juu lakini kani ya uvutano wa dunia inalirudisha kwake.
Mstari 11:
[[Isaac Newton]] anajulikana kama [[mtaalamu]] aliyeweza kueleza graviti kwa mara ya kwanza kama utaratibu wa kimsingi wa sayansi.
{{mbegu-fizikia}}
|