Biashara : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Mstari 14:
* Soko [[la fedha]] ni pamoja na mabenki na makampuni mengine ambayo huzalisha faida kupitia uwekezaji na usimamizi wa [[fedha za uwekezaji.]]
* [[Biashara za habari]] huzalisha faida kutokana mauzo ya haki miliki na ni pamoja na [[biashara za video]] , wachapishaji na makampuni ya kuunda programu za tarakilishi.
* [[Watengenezaji bidhaa Viwandani|Watengenezaji bidhaa viwandani]] huzalisha [[bidhaa,]] kutoka [[malighafi]] au sehemu
* Biashara [[isiyohamishika]] huzalisha faida kutokana na kuuza, kukodisha, na maendeleo ya mali, nyumba, na majengo.
* [[Wauzaji wa bidhaa za rejereja na wasafirishaji wa bidhaa zenyewe]] huingilia kati shughuli ya kuzitoa bidhaa kutoka kwa watengenezaji hadi kwa wateja,na kuzalisha faida kutokana na mauzo au usambazaji na kutoa huduma.
* [[Biashara za kutoa Huduma]] ni biashara ambazo hupata faida yake kutokana na kutoa huduma fulani kwa wateja wake. Mashirika kama vile makampuni ya ushauri, mikahawa na hata watumbuizaji ni aina ya biashara za huduma . Pia kunamshipuko mpya wa biashara za kutafutia wat kazi na vibarua ambazo pia ni biashara za kutoa huduma.<ref>{{Cite web|url=https://getvested.io/temp-agency/temp-to-hire/|title=Temp to Hire|author=Vested Technology|date=8 March 2018|language=en-US|work=Vested Technology Website|accessdate=19 July 2018}}</ref>
* [[Biashara ya Usafiri]] ni biashara ambayo hupata faida yake kupitia kuwasafirisha watu na bidhaa kutoka mahali pamoja hadi mahala pengine.
|