Kichocho : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 14:
}}
'''Kichocho''' (pia '''schistosomiasis''' au '''bilharzia''') ni [[ugonjwa]] ambao [[minyoo]] midogo ya aina ya [[schistosoma]] inaingia [[Mwili|mwilini]] na kusababisha
==Habari za
*Kuna takriban [[watu]] [[milioni]] 200
*[[Asilimia]] kubwa wanaishi [[Afrika]]
*Hali ya ugonjwa inatokea ama polepole ambako [[wagonjwa]] mara nyingi hawana [[dalili]] kwa muda mrefu
*[[Utambuzi]] wake hufanyika kwa kuchunguza
*[[Tiba]] kwa kawaida ni [[dawa]] ya [[praziquantel]]. Kama ugonjwa haukuendelea kwa muda mrefu mno wagonjwa wanaweza kupona kikamilifu wakitibiwa. <ref>[http://patient.info/health/schistosomiasis-leaflet Patient Info schistosomiasis], imeangaliwa Disemba 2015</ref>
==
[[Picha:Kichocho, njia za schistosoma.jpg|thumbnail|500px|Mzunguko wa [[wadudu]] aina ya schistosoma kati ya [[binadamu]] na [[konokono]] na hali za maendeleo yao.]]
Minyoo ya aina ya
* mnyoo mzima unatega [[mayai
* mayai yakifika katika [[maji]] yanabadilika kuwa [[lava]]
* lava zinatafuta [[konokono]] ya maji, zinaingia na kukomaa ndani ya konokono
* lava zilizokomaa zinatoka nje na kumtafuta binadamu, zikitoboa ngozi yake na kuingia katika mzunguko wa damu
* lava zinazunguka mwilini hadi kufikia [[maini]], hapa zinakua kuwa minyoo wazima wenye [[urefu]] wa [[milimita]] 1-2 wanaokaa katika [[Mshipa|mishipa]] [[mishipa ya damu|ya damu]] wanapotaga mayai
* mayai huvurugisha [[
Kwa hiyo maisha ya
* mwili wa
* konokono ya maji
* [[mazingira]] ambako konokono
* watu wagonjwa wanakojolea kwenye maji au kuacha kinyesi chao mle
Kwa hiyo njia ya kuambukizwa ni kuingia katika maji
==
Taratibu wa kukinga dhidi ya [[maradhi]] haya ni pamoja na upatakanaji wa [[maji safi]] na upungufu wa [[idadi]] ya konokono. Katika maeneo ambako maradhi yanaambukiza zaidi, [[Kundi|makundi]] ya watu
Praziquantel ni dawa inayopendekezwa na [[Shirika la Afya Duniani]] kwa ajili ya wale wanaojulikana kuambukizwa.<ref>[http://wwwnc.cdc.gov/travel/yellowbook/2016/infectious-diseases-related-to-travel/schistosomiasis CDC Yellow Book, chapter 3, Schistosomiasis] imeangaliwa disemba 2015</ref>.
==Historia ya matibabu==▼
[[Picha:Bilharz theodor1.jpg|thumbnail|150px|Theodor Bilharz aliyetambua minyoo inayosababisha Kichocho]]
Ugonjwa na [[kidusia]] chake vilitambuliwa mara ya kwanza
▲==Historia ya matibabu==
▲Ugonjwa na [[kidusia]] chake vilitambuliwa mara ya kwanza mnanmo mwaka 1851 nchini Misri na mtibabu Mjerumani [[Theodor Bilharz]] alipochungulia maiti katika hospitali moja mjini Kairo. Kwa hiyo ugonjwa umejulikana pia kwa jina la Bilharzia.
==Marejeo==
<references/>
{{mbegu-tiba}}
[[Category:magonjwa]]
[[Category:
|