Wambunga : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
/* Historia
No edit summary
Mstari 10:
Walijulikana kwa [[matamshi]] yao kuwa Wangoni, lakini wao walijiita Wambunga kwani wametokea mlima Mbunga. Hiyo ilitokana na kuchoshwa na vita, maana wote waliwatambua Wangoni kwa kupenda vita, kumbe kwa kusema hivyo wangebaki salama wenyeji wao wasiwadhuru, maana wakati huo Wangoni walishaanza uchokozi wa kivita na [[Muyugumba]], kiongozi wa Wahehe.
 
Kwa sasa Wambunga wanapatikana zaidi katika maeneo yafuatayo,: Ifakara Mjinimjini na vitongoji vyake, [[Kiberege]] na vitongoji vyake, [[Kisawasawa]], baadhi ya maeneo ya [[Mang'ula]], [[Mbingu (Kilombero)|Mbingu]] na baadhi ya maeneo ya [[Mngeta,]]: maeneo yote haya ni katika Wilayawilaya ya Kilombero,. wambungaWambunga wapo kwa wingi katika mji[[kijiji]] wacha [[Kisaki]], [[Wilaya ya Morogoro Vijijini|Morogoro vijijini]], mkoani Morogoro,pia. Pia wanapatikana katika [[wilaya ya Kisarawe]], [[mkoa wa Pwani, hata hivyo]]. iasemekanaInasemekana baadhi ya wambungaWambunga wapo katika maeneo ya nje ya [[Dar es salaamSalaam]].
{{Makabila ya Tanzania}}
 
 
{{mbegu-utamaduni-TZ}}
{{DEFAULTSORT:Mbunga}}
 
{{Makabila ya Tanzania}}
[[Jamii:Makabila ya Tanzania]]
[[Jamii:Wilaya ya Kilombero]]