Kundinyota : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 74:
 
Katika unajimu wa siku hizi majina mengi ya kimapokeo yamesahauliwa katika unajimu wa Afrika ya Mashariki na badala yake wapiga falaki wanatumia orodha ya majina ambayo mara nyingi ni tafsiri ya majina ya Kiingereza tu au pia namna ya kutaja alama ya kundinyota kwa neno la Kiswahili. Isipokuwa Mizani na Mashuke bado ni majina asilia. Majina katika unajimu wa kisasa jinsi yalivyo kawaida ni yafuatayo:
# [[Kondoo]] (Aries): Machi 21 – Aprili 19
# [[Ng’ombe]] (Taurus): Aprili 20 – Mei 21
# [[Mapacha]] (Gemini ): Mei 22 – Juni 20
# [[Kaa]](Cancer): Juni 21 – Julai 22
# [[Simba]] (Leo): Julai 23 – Agosti 22
# [[Mashuke]] (Virgo):Agosti 23 – Sept 22
# [[Mizani]] (Libra): Sept 23 – Okt 22
# [[Ng’e]] (Scorpio): Okt 24- Nov 21
# [[Mshale]] (Sagittarius): Nov 22- Des 21
# [[Mbuzi]] (Capricorn):Des 22 – Jan 19
# [[Ndoo]] (Aquarius):Jan 20 – Feb 18
# [[Samaki]] (Pisces):Feb 19 – Machi 20
 
==Tazama pia==