Unajimu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Orion Picha.jpg|thumbnail|Mwindaji [[Orion]]: watu waliwaza ya kwamba nyota kadhaa zinazoonekana kwa pamoja angani ni picha ya mungu fulani au nguvu muhimu katika ulimwengu, hata kama nyota hizi hali halisi hazina uhusiano kati yao.]]
'''Unajimu''' (wakati mwingine pia: '''astrolojia''' kutoka Kiingereza: "astrology") ni mafundisho yasiyo ya [[sayansi|kisayansi]] juu ya uhusiano kati ya [[nyota]] na [[maisha]] hapa [[duniani]]. Wafuasi wa unajimu hufundisha ya kwamba nyota zinaathiri maisha ya watu na matukio duniani kama [[amani]], [[vita]] au [[maafa]].
Kuna aina nyingi za unajimu:
* wengine wanataka kugundua mwendo wa [[dunia]] na [[utabiri]] wa mambo yajayo kutokana na nyota
* wengine wanaamini ya kwamba [[tabia]] za mwanadamu zinatokana na hali ya nyota wakati wa kuzaliwa kwake
* wengine wanaona nyota kama [[alama]] za [[miungu]] au nguvu za [[mbinguni]].
== Tofauti ya unajimu na astronomia ==
Unajimu na [[astronomia]] zilianza pamoja kama [[kazi]] ileile zikaendelea hivyo kwa [[karne]] nyingi. Tangu mwanzo wa [[sayansi]] ya kisasa takriban miaka 500 iliyopita [[wataalamu]] walitambua tabia za nyota kuwa [[magimba ya angani]] yenye sifa za ki[[fizikia]]
[[Picha:Antiquities of Mexico, 1831; Aztec zodiac man Wellcome L0020862.jpg|thumbnail|Uchoraji wa Meksiko ya Kale unaonyesha zodiaki ya kundinyota za unajimu wa Waazteki]]
== Asili ya unajimu ==
Tangu mwanzo wa [[historia]] wanadamu katika sehemu mbalimbali za dunia walitazama nyota.
Nyota zinaonekana wakati wa [[usiku]] kwa kufuatana na mwendo wa dunia yetu kuzunguka [[jua]]. Kwa namna hiyo kuonekana kwa nyota kunalingana na [[majira]] ya mwaka. Kwa hiyo katika dunia kabla ya kupatikana kwa [[kalenda]] watazamaji wa nyota waliweza kutabiri mabadiliko ya [[hali ya hewa]], kuja kwa majira ya [[mvua]], [[baridi]], [[joto]] na kadhalika. Kati ya nyota
Kwa mfano kuonekana kwa nyota fulani (hii inategemea mahali duniani) inaweza kuwa alama ya kwamba mvua ni karibu, au majira ya baridi
Leo hii watalaamu wengi huamini ya kwamba hapo ndipo msingi muhimu wa [[imani]] ya kwamba nyota zinaathiri maisha duniani.
Watu wa kale walikuwa hodari sana kutazama nyota na kutambua mabadiliko
Uhusiano ulioonekana kati ya mabadiliko ya nyota na mabadiliko ya majira yalianzisha [[elimu]] ya [[kalenda]] pamoja na
Kwa [[wazee]]
[[Picha:Astro signs.svg|thumbnail|Alama kwa kundinyota 12 za Zodiaki katika mapokeo ya Ulaya; zinadaiwa kuwa muhimu na kutawala tabia za watu kwenye horoskopi.]]
Mstari 31:
Kati ya mbinu za unajimu zinazojulikana sana duniani ni [[horoskopi]]. Tangu zamani watu walitazama nyota zilizoonekana pamoja kama [[kundinyota]] kama nukta angani na kuwaza kuwa na mistari kati yao hivyo kuona picha ya watu, wanyama au miungu. Ni hasa kundinyota 12 za aina hii zilizorudia kila mwaka kukaa juu kwenye anga wakati wa mwezi fulani. Kundinyota hizi zilichukuliwa kama "watawala" wa kipindi ambako zilionekana juu angani wakati wa usiku na kwa pamoja zinafanya "[[zodiaki]]" yaani ufuatano wa kundinyota zilizoaminiwa kuwa muhimu. Unajimu unafundisha ya kwamba kila kundinyota kuw na tabia fulani na mtu aliyezaliwa "chini" ya nyota hizi kuwa tabia zilezile na kuwa. Hizi kundivyota za zodiaki ziliunganishwa na athira iliyoaminiwa kutokea kwa sayari ambazo zilipewa pia tabia zao. Hayo yote ni mfumo usioeleweka kirahisi na kuwa msingi wa horoskopi.
Hadi leo chini ya vichwa kama "Nyota zinasema" [[magazeti]] mengi huchapisha namna za [[utabiri]] wa kila [[wiki]] kwa watu kufuatana na [[tarehe]] zao za kuzaliwa.
* [http://www.best-astrologyinfo.com/index.php Astrology Zodiac]
* [http://wshao.blogspot.com/2007/02/kuna-uhusiano-wowote-kati-ya-sayansi-na.html William Shao: Kuna uhusiano wowote kati ya unajimu na sayansi? (2007)]
{{mbegu-dini}}
[[Jamii:Dini]]
|