Usafiri wa anga-nje : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Picha:Soyuz TMA-5 launch.jpg|thumbnail|Roketi ya Soyuz TMA-5 ilirushwa uwanja wa anga Baikonur nchini Kazakhstan mnamo 14 Oktoba 2004 kikibeba wanaanga 3 kwen...' |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Soyuz TMA-5 launch.jpg|thumbnail|Roketi ya Soyuz TMA-5 ilirushwa uwanja wa anga Baikonur nchini Kazakhstan mnamo 14 Oktoba 2004 kikibeba wanaanga 3 kwenda ISS]]
[[Picha:ISS March 2009.jpg|thumbnail|Kituo cha anga cha Kimataifa ISS mnamo mwaka 2009]]
'''Usafiri wa anga
Chombo cha kwanza kilichofikia juu ya km 100 kilikuwa [[roketi]] ya Kijerumani aina ya [[V-2]] katika majaribio ya mwaka [[1944]].<ref>"The V2 and the German, Russian and American Rocket Program", C. Reuter. German Canadian Museum. p. 170. ISBN 1-894643-05-4, ISBN 978-1-894643-05-4</ref>
Chanzo cha usafiri wa anga
[[Kiumbehai]] wa kwanza aliyefikishwa hadi anga
[[Marekani]] ilifaulu kupeleka watu wa kwanza hadi uso wa [[Mwezi (gimba la angani)|mwezi]] tarehe [[20 Julai]] [[1969]]: hao walikuwa [[Neil Armstrong]] na [[Buzz Aldrin]].
Tangu mwaka [[1986]] Umoja wa Kisovyeti ilianza kujenga [[kituo cha angani]] [[MIR]] kilichofuatwa na [[Kituo cha Anga cha Kimataifa ISS]] tangu [[1998]]. Katika vituo hivyo [[wanaanga]] na [[wanasayansi]] kutoka nchi mbalimbali waliweza kukaa angani kwa miezi na kufanya [[utafiti]] wa [[mazingira]] ya anga
Usafiri
Katika mazingira ya karibu zaidi ya Dunia kuna satelaiti nyingi zinazozunguka sayari yetu na kutekeleza [[kazi]] hata za [[biashara|kibiashara]] kama vile [[upimaji]] wa [[hali ya hewa]], kurusha [[programu]] za [[runinga]] na [[redio]], kutuma [[data]] za [[GPS]] au za [[simu]].
Line 20 ⟶ 19:
{{reflist}}
[[Category:Usafiri wa anga
[[Jamii:Teknolojia]]
[[Jamii:Astronomia]]
|