Mwangaza unaoonekana : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 9:
 
==Kipimo cha magnitudo==
Kwa kutaja kiasi cha mwangaza wanaastronomia hutumia kizio cha "magnitudo" (kifupi '''mag'''). Neno hili la [[Kilatini]] linamaanisha "ukubwa". Kadri mwangaza niulivyo mkubwa nambakiasi yacha magnitudo"mag" nikinakuwa ndogokidogo.
 
Kwa mfano nyota ya [[Sumbula]] ina magnitudo ya mag +1,04. [[Rijili ya Jabari]] inayojulikana pia kama [[:en:Rigel|Rigel]] ina mwangaza unaoonekana wa mag +0.12 maanana yakehapa tunaona nuruni yakekati kaliya nyota ng'avu zaidi kwenye anga.
 
KamaIwapo gimba la anga inang'aa sana, inalinakuwa [[nambana mag hasi]].Mfano kwawake ni mfano nyota angavung'avu sana kama [[Shira]] ''(Sirius)'' na [[sayari]] za [[Zuhura]] ''(Venus)'' au [[Mshtarii]] ''(Jupiter)''.
 
Kipimo hakifuati mstari bali vizio vyake vinafuatana kwa hatua za [[logi]]. Kwa hiyo ongezeko la mwangaza kutoka kizio kimoja hadi kile kidogo zaidi kinachofuata ni takriban mara 2.5.
 
Kuonekana kwa nyota kunategemea mazingira. Tukiwa mjini penye mwanga mwingi tunaona nyota hadi mag 4, tukiwa mashambani penye giza tunaona nyota nyingi zaidi hadi mag 6-7.