Maliki Junubi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '{{nyota | jina = Maliki Junubi ''(A Leonis, Regulus)''</br><small><small>(mfumo wa nyota 4, tatu zinatambuliwa)</small></small> | picha...' |
Marekebisho |
||
Mstari 22:
==Jina==
Maliki Junubi inayomaanisha “Mfalme wa Kusini” ilijulikana kwa mabaharia Waswahili tangu miaka mingi wakifuata njia yao baharini wakati wa usiku kwa msaada wa nyota. <ref>ling. Knappert 1993</ref>. Walipokea jina hili kutoka kwa Waarabu wanaosema <big> المليك</big> ''al-malik'' linalomaanisha
Kwa matumizi ya kimataifa Umoja wa Kimataifa wa Astronomia ulikubali
Alfa Leonis ni [[jina la Bayer]] maana ina nafasi ya kwanza kufuatana na mwangaza katika kundinyota yake.
==Tabia==
Maliki Junubi - Regulus iko
Iko angani karibu na mstari wa [[ekliptiki]], hivyo inafunikwa mara nyingi na Mwezi.
Mstari 34:
Maliki Junubi ni mfumo wa nyota pacha nne au labda zaidi. Nyota kuu ni Regulus A iliyo na rangi ya buluu-nyeupe na masi ya 3.5 Inafuatana na [[nyota kibete nyeupe]] yenye masi ya [[M☉]] 0.3 na zote mbili zinazunguka kwa pamoja kitovu chao cha graviti katika muda wa takriban siku 40.<ref> Rappaport, S.; Podsiadlowski, Ph.; Horev, I. (2009)</ref>.
Nyota mbili nyingine ya mfumo huu zinaitwa B na C zikiwa
==Tanbihi==
|