Nyota nova : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 3:
==Historia ya utazamaji==
Zamani nyota zote zilizowaka hivi ziliitwa kwa jina lilelile "nova". Jina hili lilitumiwa mara ya kwanza na [[Tycho Brahe]] ambaye katika mwaka 1572 aliona nyota mpya katika eneo la kundinyota [[Mke wa Kurusi|Mke wa Kurusi ''(Cassiopeia)'']] na kueleza utafiti wake katika kitabu cha "De stella nova"(Kuhusu nyota mpya) <ref>Kilatini kwa "Kuhusu nyota mpya", linganisha [https://www.nasa.gov/mission_pages/WISE/multimedia/gallery/pia13119.html Tycho's Supernova Remnant], tovuti ya NASA, iliangaliwa Februari 2108</ref>. Wakati huo Tycho Brahe alianzisha majadiliano kuhusu mafundisho ya wataalamu wa kale walioamini kwamba hakuna mabadiliko yoyote kwenye anga ya nyota<ref>Majadiliani yaliendelezwa na [[Johannes Kepler]] aliyeandika mwaka 1606 pia kuhusu "Stella Nova in pede Sagitarii" (kuhusu nyota mpya mguuni pa kundinyota Kausi)</ref>.
Hata kabla ya Tycho kulikuwa na taarifa kuhusu nyota zilizotokea angani. Taarifa ya kale zaidi ni ya wanaastronomia nchini China kwenye mwaka 185 baada ya Kristo kuhusu "nyota geni" iliyoonekana karibu na [[Rijili Kantori|Rijili Kantori ''(α Centauri)'']]. Nova nyingine ilitazamiwa mwaka 1006 na kurekodiwa na wanaastronomia Wachina, Wajapani na Wakristo wa Baghdad. Mabaki yake huonekana hadi leo kama "Nebula ya Kaa" katika eneo la [[Tauri (kundinyota)|Tauri ''(Taurus)'']].
Mstari 15:
==Tabia za nova==
[[Picha:Making a Nova.jpg|300px|thumb|Nyota Kibete Cheupe inavuta mata kutoka Jitu Jekundu jirani kwake.]]
Nyota nova za kawaida zinatokea katika [[Nyota pacha|mfumo wa nyota pacha]]. Nadharia inayokubalika na wengi inasema: [[nyota kibete cheupe]] na nyota kubwa, hasa [[jitu jekundu]], zinazungukana kwa umbali wa karibu. Kibete cheupe kimeshamaliza [[hidrojeni]] yake na kujikaza, hivyo [[graviti]] yake bado ni kubwa ingawa mjao wake ni mdogo, pia
Mchakato huu unazalisha kiasi kikubwa cha nishati na kurusha sehemu ya hidrojeni inayowaka kwenye anga
Maendeleo ya nova inafuata hatua kama hizi:
Mstari 28:
==Kugunduliwa kwa nova==
Kila mwaka kuna takriban nyota nova 10 zinazotazamwa katika Njia Nyeupe<ref>[http://cbat.eps.harvard.edu/nova_list.html List of Novae in the Milky Way], tovuti ya Central Bureau for Astronomical Telegrams, iliangaliwa Februari 2018</ref>. Lakini wanaastronomia hukadiria kwamba idadi halisi ni kubwa zaidi, labda
Nyota nova zinagunduliwa pia katika galaksi nyingine, kwa mfano katika [[galaksi ya Andromeda]] (M31) na penginepo<ref>[http://cbat.eps.harvard.edu/CBAT_M31.html M31 (Apparent) Novae Page], tovuti ya Central Bureau for Astronomical Telegrams, iliangaliwa Februari 2018 </ref>.
==Nova za kurudia==
Kinadharia mchakato huu unaweza kurudia mara kadhaa kwa sababu baada ya mlipuko wa angahewa ya nyota ndogo, mata kutoka jirani
Hadi sasa kuna nyota nova 10 zilizotazamwa kuwaka tena kati ya takriban 400 zilizogunduliwa katika [[Njia Nyeupe]]<ref>[http://iopscience.iop.org/article/10.1088/0004-637X/746/1/61/pdf M. J. Darnley, V. A. R. M. Ribeiro1,2, M. F. Bode, R. A. Hounsell, and R. P. Williams, ON THE PROGENITORS OF GALACTIC NOVAE], The Astrophysical Journal, Volume 746, Number 1, Published 2012 January 25 </ref>; kwa hiyo hakuna uhakika bado kuhusu muda wa kawaida uliopo baina ya kuwaka kwa nyota. Kama nyota kibete imeendelea kukusanya mata nyingi kuna uwezekano kwamba inalipuka mwishoni kama supanova <ref>Sababu yake ni ya kwamba graviti yake inaweza kuzidi shinikizo ya mnururisho ndani yake ambayo kwa kawaida inatunza uwiano ndani ya nyota</ref>
|