William Herschel : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 3:
'''Friedrich Wilhelm Herschel''' (kwa Kiingereza: '''Frederick William''', [[15 Novemba]] [[1738]] – [[25 Agosti]] [[1822]]) alikuwa mtungaji wa muziki na mwanaastronomia kutoka nchini [[Ujerumani]] aliyeishi na kufanikiwa [[Uingereza]].
Alipata umaarufu hasa kama mgunduzi wa [[sayari]] ya [[Uranus]]. Kasoko moja kwenye [[Mwezi]] ilipewa jina la Kasoko ya Herschel kwa heshima ya michango
==Maisha==
Herschel alizaliwa katika familia ya Walutheri katika utemi wa Hannover kwenye kaskazini ya Ujerumani<ref>leo katika [[Saksonia Chini|Jimbo la Saksonia Chini]]</ref>. Familia ilikuwa ya asili ya Kiyahudi kutoka [[Moravia]]. Babake alikuwa mwanamuziki katika bendi la jeshi la mtemi. Wakati ule watemi wa Hannover walikuwa pia wafalme wa Uingereza. Wilhelm alimfuata baba kama mpiga filimbi wa [[oboe]] na [[fidla]]
Herschel aliendelea na kazi ya muziki akaendelea kuwa kiongozi wa bendi hadi kushika nafasi ya mkurugenzi wa muziki katika mji wa [[Bath]] alipoishi pamoja na dadake Caroline. Alikuwa pia mpiga [[kinanda za filimbi]] kanisani. Alitunga muziki ya kiroho na ya burudani.
Mstari 14:
==Ugunduzi wa sayari Uranus==
Mwaka 1780 aliweza kugundua [[sayari]] ya [[Uranus]]. Hii ilikuwa sayari ya kwanza iliyogunduliwa
==Michango mingine katika sayansi==
Mstari 62:
[[Jamii:Waliozaliwa 1638]]
[[Jamii:waliofariki 1722]]
{{wikinyota}}
|