Zubani Junubi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 23:
Zubani Junubi ilijulikana kwa [[mabaharia]] [[Waswahili]] tangu miaka mingi wakifuata njia yao [[Bahari|baharini]] wakati wa [[usiku]] kwa msaada wa nyota. <ref>ling. Knappert 1993</ref>. Walipokea [[jina]] hili kutoka kwa [[Waarabu]] wanaotumia [[neno]] <big> الجنوبي الزبان </big> ''al-zuban al-janubi '' kwa maana ya « koleo la kusini » yaani koleo la [[nge]]. Maana yake nyota hii pamoja na nyingine za Mizani zilihesabiwa zamani kuwa sehemu ya Akarabu (Nge) na kutazamwa kama makoleo yake. Hivyo kundinyota lote la Mizani bado liliitwa “Χηλαι” (helai - makoleo) na [[Klaudio Ptolemaio]] katika [[Almagesti]]. Kwa nyota aliita “ile angavu kwenye ncha ya koleo la kusini”<ref>[[Kigiriki]]: τῶν ἐπ´ ἂκρας τῆς νοτίου χηλῆς ὁ λαμπρός ''toon ep akras tes notiou heles ho lampros'', Heiberg (1903) uk. 106</ref>.
 
Kwa matumizi ya kimataifa [[Umoja wa Kimataifa wa Astronomia|UkiaUKIA]] ulikubali jina la [[Kiarabu]] na kuorodhesha nyota ya Lib α² kwa [[tahajia]] ya "Zubenelgenubi" <ref>[https://www.iau.org/public/themes/naming_stars/ Naming Stars], tovuti ya [[Umoja wa Kimataifa wa Astronomia]] (UkiaUKIA), iliangaliwa Novemba 2017</ref>. Maana Zubani Junubi ni [[nyota pacha]] na azimio la Ukia linahusu nyota kuu katika mfumo huu.
 
Alfa Librae ni [[jina la Bayer]]; [[Alfa]] ni [[herufi]] ya kwanza katika [[alfabeti ya Kigiriki]] lakini Zubani Junubi ni nyota angavu ya pili na hii ni mfano ya kwamba [[Johann Bayer|Bayer]] hakufuata [[mwangaza]] kamili wakati wa kuorodhesha nyota.
Mstari 46:
 
[[Jamii:Nyota]]
{{wikinyota}}}}