Neptuni (sayari) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
kunyosha lugha na maelezo (makala ilikuwa iliunganishwa na makala mbili zilizowahi kupatikana sambamba, lugha haikuridhisha) |
No edit summary |
||
Mstari 3:
[[Picha:Neptune-visible.jpg|thumb|200px|right|Neptun ilivyopigwa [[picha]] na darubini ya angani ya Hubble I.]]
[[Picha:Neptune, Earth size comparison.jpg|thumb|200px|right|Ulinganifu wa Neptun na [[dunia]]. [[Rangi]] ya [[bluu]] ya sayari ya Neptune hutokana na uwepo wa methane katika tabaka lake la hewa.]]
'''Neptuni''' (''[[ing.]] Neptune)'' ni [[sayari]] ya nane kutoka
Neptuni inazunguka Jua kwenye [[obiti]] yake katika kipindi cha miaka 164.8 kwa umbali wa kilomita bilioni 4.5 au [[vizio astronomia]] 30.
==Ugunduzi na jina==
Neptuni haionekani kwa macho matupu. Inawezekana ya
Neptuni ilitambuliwa katika karne ya 19 kutokana na makadirio ya kihisabati wakati wataalamu walitafuta maelezo
Wavumbuzi mbalimbali walivutana kwa muda kuhusu jina na hatimaye mapendekezo ya kutumia jina la [[Neptunus]], mungu wa Kiroma wa bahari, yalikubaliwa.
Mstari 18:
Nusukipenyo chake ni kilomita 24,765 hivyo mara nne ya Dunia.
Muundo wa Neptuni
Juu yake ziko tabaka za angahewa inayofanywa na gesi kama [[hidrojeni]], [[heli]] na methani. Hakuna tofauti kali kati ya sehemu za „angahewa“ na „bahari“ maana hali za mata zinaingiliana kutokana na shinikizo kubwa.
Tabaka za juu
Katika angahewa ya Neptuni zilipimwa [[dhoruba]] kali zinazofikia kasi ya zaidi ya kilomita 1600 kwa saa.
Neptuni huwa na mfumo wa bangili
==Miezi==
Mwezi mkubwa unaitwa Tritoni
Katika karne ya 20 miezi mingine ilitambuliwa inayozunguka Neptuni, hadi sasa jumla ni 14 lakini mingi ni midogo.
Mstari 35:
Neptun huwa haionekani kwa urahisi: macho matupu hayawezi kuiona; ni lazima kutumia darubini, na hata hapo huonekana ikiwa imefifia kama kisahani chenye rangi ya buluu-kijani. Rangi hii imetokana na gesi ya methani inayopatikana kwa wingi katika angahewa yake. Kwa kutumia darubini kubwa, sayari huweza kuonekana kama kaduara kadogo chenye kipenyo cha kama sekunde za tao 2.3..
{{Wikinyota}}
==Tazama pia==
* [[Mfumo wa jua]]
|