Antara : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 1:
[[Picha:Akarabu_Nge_Scorpius.png|400px|thumb|Antara (Antares) katika kundinyota yake ya Akarabu (pia: Nge) – Scorpius jinsi inavyoonekana kwa mtazamaji wa Afrika ya Mashariki]]
[[Picha: Nyota jitu kuu na jitu.png|400px|thumb|Ulinganifu wa ukubwa baina ya Antares (Antara), Simaki (Arcturus9 na Jua]]
'''Antara''' ([[ing.]] na [[lat.]] '''Antares''' pia '''<big>α</big> Alpha Scorpii''', kifupi '''Alpha Sco''', '''α Sco''') ni nyota angavu zaidi katika kundinyota ya [[Akarabu (kundinyota)|Akarabu (pia: Nge)]] (''[[:en:Scorpius (constellation)|Scorpius]]''). Ni pia nyota angavu ya 15 kwenye anga
==Jina==
Antara ilijulikana kwa mabaharia Waswahili tangu miaka mingi wakifuata njia yao baharini wakati wa usiku kwa msaada wa nyota. <ref>ling. Knappert 1993</ref>. Walipokea jina hili kutoka kwa Waarabu wanaosema hapa kwa kawaida <big>قلب العقرب</big> ''qalb al-aqrab'' (moyo wa akarabu - nge) lakini walitumia pia jina la <big> عنترة </big> ''antarah''. Hii „Antara“ ilikuwa namna ya kutumia jina la Ἄντάρης ''an-ta-res'' walilokuta kwa [[Klaudio Ptolemaio]] katika kitabu cha [[Almagesti]]<ref>Toomer, Ptolemy’s Almagest, p. 372 </ref> na kubadilisha maana yake kwa kumtaja Antara ibn Shaddad (ar. عنترة بن شداد ) aliyejulikana kwao kama mshairi na shujaa wa Uarabuni wa Kale kabla ya Uislamu. Ἄντάρης - Antares iliyotumiwa na Ptolemaio inamaanisha
Kwa matumizi ya kimataifa Umoja wa Kimataifa wa Astronomia ulifuata mapokeo ya Kigiriki na kuorodhesha nyota hii kwa jina la "Antares" <ref>[https://www.iau.org/public/themes/naming_stars/ Naming Stars], tovuti ya [[Umoja wa Kimataifa wa Astronomia]] (Ukia), iliangaliwa Novemba 2017</ref>.
Mstari 11:
==Tabia==
Antara - Antares ni [[nyota geugeu]] na [[mwangaza unaoonekana]] wake unabadilika kati ya Vmag +0.6 na +1.6. [[Mwangaza halisi]] ni -5.3. Hivyo no nyota angavu ya 15 kwenye anga
Antara iko kwa umbali na Dunia wa [[miaka ya nuru]] 550 – 600. Masi yake ni takriban [[M☉]] 15 na nusukipenyo chake [[R☉]] 680 (vizio vya kulinganisha na Jua letu) . <ref> Schröder, K.-P.; Cuntz, M. (April 2007) </ref><ref>Ohnaka, K; Hofmann, K.-H; Schertl, D; Weigelt, G; Baffa, C; Chelli, A; Petrov, R; Robbe-Dubois, S (2013</ref>).
|