Teknolojia : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Replacing Astronaut-EVA.jpg with File:Bruce_McCandless_II_during_EVA_in_1984.jpg (by CommonsDelinker because: File renamed: Criterion 2 (meaningless or ambiguous name)).
 
Mstari 1:
[[Picha:Astronaut-Bruce McCandless II during EVA in 1984.jpg|thumb|right|Katika nusu ya pili ya [[karne ya 20]] wanadamu walifaulu kutumia teknolojia mbalimbali kuwafikisha watu kwenye [[anga la nje]].]]
'''Teknolojia''' (kutoka [[Kiingereza]]: [[:en:Technology|Technology]] ni [[elimu]] inayohusu [[uhandisi]], [[ufundi]], [[ujenzi]], vifaa na mbinu za [[uzalishaji]] wa vifaa na huduma katika [[jamii]].