Beirut : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d All info is kept in Wikidata, removed: {{Link FA|ar}} (2) using AWB (10903) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Ras Beirut.jpg|thumb|250px|Kitovu cha Beirut kutoka hewani: Bandari, Ras Beirut, Uwanja wa ndege]]
'''Beirut''' (''pia: Beyrouth;'' kwa [[Kiarabu]]: بيروت) ni [[mji mkuu]] wa [[Lebanon]], pia [[mji]] mkubwa na [[bandari]] kuu ya nchi hiyo. Iko [[Mwambao|mwambaoni]] pa [[Bahari ya Kati]].
Imekadiriwa kuwa [[idadi]] ya wakazi ni kati ya [[milioni]] [[moja]] na [[mbili]].
Mahali pa mji ni kanda kati ya [[bahari]] na [[milima]] inayofuatana sambamba na mwendo wa [[pwani]].
[[Kitovu]] cha [[Historia|kihistoria]]
[[Picha:Beirut msikiti kanisa.JPG|thumb|250px|[[Kanisa]] na [[msikiti]] kandokando mjini Beirut.]]
Kipindi kirefu cha [[vita]]
Tangu [[amani]] ya mwaka [[1990]] mji ulijengwa upya. Lakini mashambulizi ya [[ndege za vita]] za [[Israel]] mnamo [[Julai]] [[2006]] yaliharibu tena sehemu za mji.
[[Picha:Beirut- building from before civil war.jpeg|thumb|250px|[[Nyumba]] zilizofyatuliwa [[risasi]] wakati wa vita 1975-1990.]]
Kabla ya vita Beirut ilikuwa tangu muda mrefu kitovu cha kiuchumi na kielimu
{{mbegu-jio-Asia}}
[[Jamii:Miji
[[Jamii:Miji ya Lebanoni]]
[[Jamii:Miji ya pwani
|