Kitabu cha Mormoni : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Book of Mormon 1830 edition reprint.jpg|100px|right|Toleo la mwaka 1930.]]
'''Kitabu cha Mormoni''' ni [[mwandiko]] wa [[Dini|kidini]] wa [[jumuiya]] ya [[Wamormoni]] walioitwa hivyo kufuatana na [[kitabu]] hiki. Wenyewe huamini kuwa ni kitabu kitakatifu chenye [[neno la Mungu]].
== Historia ndani ya Kitabu cha Mormoni ==
Kufuatana na [[taarifa]] za
Kundi la kwanza walikuwa Wayaredi walioondoka [[Mesopotamia]] baada ya kukwama kwa [[ujenzi]] wa [[Mnara wa Babeli]].
Mnamo mwaka [[600 KK]] kundi la [[Wayahudi]] walioongozwa na nabii Lehi waliondoka [[Yerusalemu]] kabla ya [[mji]] kuangamizwa na [[Babeli]], wakajenga [[jahazi]] kubwa na kufika katika nchi mpya. Baada ya [[kifo]] cha Lehi wafuasi wa [[Mwana|wanawe]] Nefi na Lamani walianza kugombana na kuwa [[Kabila|makabila]] mawili
Wanefi walikutana baadaye na wafuasi wa Muleki aliyekuwa mwana wa [[mfalme Zedekia]] wa [[Yuda]] waliokimbia wakati wa [[anguko la Yerusalemu]] wa mwaka [[587 KK]].
Kitabu cha Mormoni
Wanefi na Walamani waliungana baadaye kwa [[karne]] kadhaa na kuishi kwa [[amani]], lakini amani
== Historia au riwaya? ==
Nje ya Wamormoni habari hizi
Hadi leo Kitabu cha Mormoni kimetafsiriwa katika [[lugha]] 72 za sehemu mbalimbali za [[dunia]].
== Viungo vya Nje ==
* [https://www.lds.org/scriptures/bofm?lang=swa Kitabu cha Mormoni kwa lugha ya Kiswahili]
* [https://www.lds.org/bc/content/shared/content/swahili/pdf/language-materials/34406_swa.pdf Kitabu cha Mormoni kwa lugha ya Kiswahili pdf]
{{mbegu-kitabu}}
[[Jamii:Umormoni]]
|