Wikipedia:Sanduku la mchanga : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Mstari 22:
Shuleni MB Salone alikuwa na wakati mgumu na hakuhitimu mitihani yake. Mara kwa mara alijipata taambani tokana na uchechi wake na utovu wa nidhamu uliochangia pakubwa kufeli mitihani.<ref name=":4" /> Akiwa darasa la saba unga ulizidi maji na akatiwa mbaroni alipoiba duka la Target [[Jacksonville, Florida]] Shauku yake ya muziki ilikuwa inakita mizizi na mwaka wa 2007 akiwa shule ya upili ya Wolfson mle Jacksonville Florida alikuwa ashaanza kutengeneza mindondo ya R&B and Trap. Kwa bahati mbaya uundaji wa midundo ulikuwa unachukua muda wake mwingi na masomo yake shuleni yaliendelea kudidimia na hatimaye alifukuzwa shuleni akiwa mwaka wake wa mwisho kwa kutohudhuria darasa mara mingi. MB Salone alibahatika kurudi shuleni na mwaka wa 2014 akajiunga na chuo cha kiufundi cha wanajamii ya Prince Georges ([[Prince George's Community College]]) iliyoko Largo, katika [[Prince George's|kaunti ya Prince George's]], [[Maryland]] . Alifuzu programu ya GED na akapata stashahada yake mwaka wa 2015.<ref name=":2" />
==Maisha ya diamod==
Maisha ya diamod hapo alikuwa magumu wakati hajaanza kurekodi nyimbo "alikuwa muuza karanga mitaani" historia yake diamod ukichunguza kwa makini unaweza kujua kuwa maisha ni kupanda na kushuka. Sasa diamod plantmunz ni billioners. Tena sasa diamod amefungua biashara yake ya kukumbukia historia ya maisha yake ambayo inaitwa [diamod karanga] hii ni biashara ambayo ameianzisha baada ya kukumbukia safari yake ya maisha yalivyokuwa. Na biashara hii imempa umarufu zaidi kwa watu.
== Diskografia ==
|