Dunia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Protected "Dunia" ([Kuhariri=Ruhusa kwa wakabidhi tu] (bila mwisho) [Kuhamisha=Ruhusa kwa wakabidhi tu] (bila mwisho)) |
|||
Mstari 79:
== Dunia kama mahali pa uhai ==
Dunia yetu ni sayari pekee inayojulikana mpaka sasa ambapo binadamu na viumbe vingine vinaweza kuishi.
Hapa kuna sababu mbili zinazofanya viumbehai kuishi dunianiː
# dunia yetu ina umbali na jua unaofaa kwa maisha kwa sababu sayari zilizoko karibu zaidi na jua (k.m. [[Zuhura]]) zina joto kubwa mno na sayari zilizoko mbali zaidi kama [[Mrihi]] ni baridi mno.
# dunia yetu ina [[angahewa]] yenye asilimia 78 ya [[naitrojini]], asilimia 21 ya [[oksijini]] na asilimia 1 ya aina nyinginezo za [[hewa]], na kwa sababu hii uhai na maisha yanamakinika katika ardhi, kinyume na sayari nyinginezo.
|