München : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Added bavarian name of the city
Tags: Mobile edit Mobile web edit
No edit summary
 
Mstari 2:
[[Picha:Munich - Maria column 04.jpg|thumb|right|[[Nguzo]] ya [[Bikira Maria]].]]
 
'''München''' (kwa [[Kibavaria]]: '''Minga''') au; kufuatana na uzoefu wa [[lugha]] ya [[Kiingereza]] '''Munich'''; (tamka: munikMunik) ni [[mji]] mkubwa wa [[tatu]] nchini [[Ujerumani]] (baada ya [[Berlin]] na [[Hamburg]]) na [[mji mkuu]] wa [[jimbo]] la [[Bavaria]] lililopo [[kusini]] mwa Ujerumani.
 
Uko kando ya [[mto]] [[Isar]] takriban [[mita]] 500 [[juu ya UB]].
 
[[Milima]] ya [[Alpi]] iko karibu.
 
[[Idadi]] ya wakazi ni 1,320,000, lakini [[rundiko]] la [[jiji]] panalina wakazi [[milioni]] [[mbili]] na [[nusu]].
 
München ni kati ya vitovu muhimu vya [[uchumi]], [[utamaduni]] na [[sayansi]] vya Ujerumani.
Mstari 15:
 
== Historia ==
Jina la mji linatokana na makazi ya [[wamonaki]] waliokuwa na [[nyumba]] kando ya Isar yaliyotajwa mara ya kwanza katika hati ya [[mwaka]] [[1158]].
 
Mji ukawa [[soko]] kwenye [[daraja]] la kuvuka mto.
 
Baada ya kuwa [[makao makuu]] ya [[watawala]] wa Bavaria mji ulianza kukua. Mnamo mwaka [[1700]] ulikuwa na wakazi 24,000 pekee walioongezeka kuwa 170,000 mnamo [[1871]] na 840,000 mwaka [[1933]].
 
== Tazama pia ==
Mstari 32:
[[Jamii:Miji ya Bavaria]]
[[Jamii:Miji ya Olimpiki]]
[[Jamii:Miji ya Ujerumani]]