Mshale (kundinyota) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Kipala moved page Kausi (kundinyota) to Mshale (kundinyota) over redirect |
No edit summary |
||
Mstari 1:
<sup>Kwa habari za sayari (wakati mwingine kwa kosa huitwa pia "Kausi") angalia hapa [[Neptun]]; kwa matumizi mengine ya jina "Sagittarius" angalia hapa [[Sagittarius]]</sup>
[[Picha:Kausi Sagittarius.png|thumb|400px|Nyota za Mahale au Kausi angani (mistari imeongezwa kwenye picha tu)]]
[[Picha:Sidney Hall - Urania's Mirror - Sagittarius and Corona Australis, Microscopium, and Telescopium.jpg|thumb|
'''
[[Nyota]] za
==Jina==
Jina la "Kaus" limetumiwa pia katika [[astronomia ya kimagharibi]] kutaja nyota kadhaa zilizomo hapa kama vile Kaus Australis, Kaus Medius na Kaus Borealis.
Katika vitabu kadhaa vya shule za msingi nchini Tanzania "Kausi" imetumiwa kwa kosa kutaja [[sayari]] ya nane katika [[mfumo wa jua]] letu yaani [[Neptun]].
==Kuonekana==
==Nyota na magimba ya anga==
Katika eneo la
*Alfa Sagittarii ambayo ni chanzo cha mawimbi ya redio; inaaminiwa ya kwamba mawimbi haya ni dalili za kuwepo kwa [[shimo cheusi]] kubwa sana linaloitwa "Sagittarius A*"; linatazamiwa kuwa shimi jeusi kuu kwenye kitovu cha galaksi yetu yaani [[Njia Nyeupe]].
*[[Nebula]] kadhaa zilizoandikishwa katika [[orodha ya Messier]] kama vile nebula za lagoon, omega na red spider.
|