Kyebitembe : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Tags: Mobile edit Mobile web edit
No edit summary
Mstari 1:
'''Kyebitembe''' ni jina la [[kata]] ya [[Wilaya ya Muleba]] katika [[Mkoa wa Kagera]], [[Tanzania]] yenye [[postikodi]] [[namba]] '''35529''' <ref>https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/tzPostcodeList.pdf</ref>.

Wakati wa [[sensa]] iliyofanyika [[mwaka]] wa [[2012]], kata ilikuwa na wakazi wapatao 25,460 waishio humo.<ref>[http://www.wavuti.weebly.com/uploads/3/0/7/6/3076464/census20general20report20-202920march202013_combined_final20for20printing1.pdf Sensa ya 2012, Kagera - Muleba-District-Council]</ref>
 
Kata hii imepakana na [[ziwa Burigi]]. Pia Hifadhihifadhi ya [[Mbuga ya Wanyama ya Burigi]] mnapatikanainapatikana ndani ya Katakata hii.
 
Ni mwwendomwendo wa masaasaa 3.5 kwa [[usafiri]] wa [[Hiace]] kutoka Katakata ya Kyebitembe mpaka Stand[[stendi]] ya Mkoa[[mkoa]] iliyo ndani ya [[Manispaa]] ya Mji[[mji]] wa [[Bukoba]].
 
Pia ndani ya Katakata hii kuna [[sekondari]] [[moja]] ambayo ni Shule ya Sekondari Kanyeranyere na [[shule]] 8 za Msingi[[shule ya msingi|msingi]] ambazo ni Nyamilanda, Kanyeranyere, Kabungo, Kyebitembe, Kyabishagao, Nyanjubi, Kagasha na Kasindaga.
 
==Marejeo==
Line 5 ⟶ 13:
 
{{Kata za Wilaya ya Muleba}}
 
{{mbegu-jio-kagera}}
 
[[Jamii:Mkoa wa Kagera]]
[[Jamii:Wilaya ya Muleba]]
Kata hii imepakana na ziwa Burigi. Pia Hifadhi ya Mbuga ya Wanyama Burigi mnapatikana ndani ya Kata hii.
 
Ni mwwendo wa masaa 3.5 kwa usafiri wa Hiace kutoka Kata Kyebitembe mpaka Stand ya Mkoa iliyo ndani ya Manispaa ya Mji wa Bukoba.
 
Pia ndani ya Kata hii kuna Shule 8 za Msingi ambazo ni Nyamilanda, Kanyeranyere, Kabungo, Kyebitembe, Kyabishagao, Nyanjubi, Kagasha na Kasindaga.
 
Kuna Shule ya Sekondari moja ndani ya Kata Kyebitembe ambayo ni Kanyeranyere Shule ya Sekondari.