Bundesliga : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Freistoss-RB Salzburg-18-09-2005.jpg|thumb|right|300px|Picha inayoonyesha sehemu ya timu za mpira za mashindano ya Bundesliga.]]
'''Bundesliga''' ni jina la [[michezo]] ya hali ya juu katika nyanja za michezo mbalimbali katika [[Ujerumani]] na [[Austria]]. Bundesliga ina maana ya kutaja ligi kuu ya nchi nzima. Mpira wa miguu ni mchezo mashuhuri sana katika nchi hizo mbili. Na ndiyo maana mchezo wa mpira wa miguu unajulikana sana katika nchi hizo kwa jina la Bundesliga.
[[Picha:Deutsche Meisterschale.JPG|thumb|riht|300px|Tuzo ya Kijerumani kwa ajili ya mshindi wa mashindano ya [[mpira wa miguu]].]]
'''Bundesliga''' ni [[jina]] la [[michezo]] ya hali ya juu katika nyanja za michezo mbalimbali katika [[Ujerumani]] na [[Austria]]. Bundesliga ina maana ya kutaja [[ligi kuu]] ya nchi nzima. [[Mpira wa miguu]] ni mchezo mashuhuri sana katika nchi hizo [[mbili]]. Na ndiyo maana mchezo wa mpira wa miguu unajulikana sana katika nchi hizo kwa jina la Bundesliga.
 
[[Timu]] za mpira zinaingia katika Bundesliga kwakuwakwa kuwa washindi katika moja kati ya ligi ndogo za nchini humo. Timu itakayoongoza katika [[msimu]] wa mashindano hayo inaitwa Meister. Meister ni [[neno]] la [[Kijerumani]] likiwa nalenye maana ya [[bingwa]] au mshindi. Kisheria, msimu wa michezo ya mpira huwa na kawaida ya kuanza mwezi wa sita[[Juni]] katika mwaka uliopo hadi mwezi wa sitaJuni mwaka unaofuatia.
 
Timu itakayoongoza itategemea na ushindi au pointi walizozipata wakati wa msimu huo. Msimu huo umegawanyika katika sehemu mbili. Katika kila sehemu mmoja, kila timu zitashindana dhidi ya mwenzake. Katika mambo ya mpira wa miguu, timu itakayoshinda itapata pointi tatu. Kama mchezo utaisha bila kupattikana mshindi, basi timu zote mbili zitapata pointi mojamoja.
 
[[Idadi]] ya timu: ni 20
 
== Viungo vya nje ==