Miaka baada ya hijra : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Miaka baada ya Hijra''' ni [[hesabu]] ya miaka katika [[kalenda ya Kiislamu]].
Hesabu hii
[[Waarabu]] waliwahi kuwa na [[kalenda]] iliyotumia mwendo wa [[Mwezi (gimba la angani)|mwezi]]
Hata baada ya Muhammad [[desturi]] hii iliendelea. Mwaka wa [[Hijra]] wenyewe uliitwa "Mwaka wa kukubaliwa kwa safari," mwaka uliofuata "Mwaka vita ilipoamriwa," n.k.
Wakati wa Khalifa Umar ilionekana haja ya kuwa na hesabu inayoeleweka zaidi hivyo hesabu ya Hijra ikachaguliwa.▼
▲Wakati wa Khalifa Umar ilionekana haja ya kuwa na hesabu inayoeleweka zaidi, hivyo hesabu ya Hijra ikachaguliwa.
==Hesabu ya Kiarabu na Hesabu ya Kiajemi==
Waarabu [[Waislamu]] waliendelea kuhesabu [[Kalenda ya mwezi|miaka ya mwezi]] ya siku 29 au 30 kufuatana na kuonekana halisi kwa mwezi.
Hivyo miaka ya Kiislamu ina jumla ya siku takriban 354. Mwaka huo wa Kiislamu una siku 11
[[Uajemi]] hutumia hesabu ya miaka ya Hijra pamoja na [[mwaka wa jua]]. Hivyo mwanzo wa 2006 BK huko Uajemi ni mwaka 1384 BH (baada ya Hijra).
==Tazama pia==
*[[Kalenda ya Kiislamu]]
{{mbegu-dini}}
[[Category:Kalenda]]
|