Fani : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Removed redirect to Fani (fasihi) Tag: Removed redirect |
No edit summary |
||
Mstari 1:
<sup>Kwa matumizi tofauti ya neno hili angalia makala [[Fani (fasihi)]]</sup>
'''Fani''' (kutoka ar. '''فنع''' "bora") ni uwanja maalumu wa elimu, maarifa au kazi. Kutaja kazi fulani kuwa "fani" kunahitaji kiwango fulani wa ubora au taaluma.
Mifano ya fani katika [[ufundi]] ni pamoja na [[useremala]], [[ujenzi]], [[uhunzi]], [[upishi]] au [[uchoraji]].
|