Uvimbe wa ubongo : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Uvimbe wa ubongo''' (kwa Kiingereza ''encephalitis'') ni ugonjwa ambao husababisha ubongo kuvimba ghafla. Kwa kawaida husababishwa na virusi,...'
 
No edit summary
Mstari 1:
'''Uvimbe wa ubongo''' (kwa [[Kiingereza]] ''encephalitis'') ni [[ugonjwa]] ambao husababisha [[ubongo]] kuvimba ghafla. Kwa kawaida husababishwa na [[virusi]], [[bakteria]], au vijidudu vingine. Kadiri ubongo unavyovimba, huweza kuharibiwa wakati unapokwaruzana na [[fuvu]].

Uvimbe wa ubongo unaweza kusababisha [[dalili]] hatarishi kama vile, kama kupata [[kifafa]] na [[kiharusi]], na hii inaweza kuwa mbaya zaidi.

[[Mwaka]] [[2013]], ugonjwa wa uvimbe wa ubongo uliua watu 77,000 [[duniani]].
 
== Ishara na dalili ==
Kwa kawaida, watu wazima wenye ugonjwa wa uvimbe wa ubongo wana [[homa]] inayoanza ghafla, [[maumivu]] ya [[kichwa]], kuchanganyikiwa, na wakati mwingine [[kifafa]]. [[Watoto]] wadogo au watoto wachanga wanaweza kuwa na [[hasira]], hawataki kula, na hupatwa na [[homa]].

Kwa kawaida wagonjwa huwa wanachoka sana au wanachanganyikiwa.
{{mbegu-tiba}}
 
[[Jamii:Magonjwa]]
[[Jamii:Ubongo]]