Waluo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 1:
'''Waluo''' (pia '''Wajaluo''') ni [[kabila]]
[[Lugha]] yao ni [[Kiluo]]. Wenyewe hujiita Jaluo na lugha yao Dhulou.
Waluo ni mkusanyiko wa kabila la Kiniloti ambalo lilisafiri kutoka [[Afrika ya Kaskazini]] kufuata mto [[Nile]] kuja [[Kusini]]. Waluo wengi wameenea kandokando ya [[Ziwa Viktoria]] kutokana na [[utamaduni]] wao wa [[uvuvi]]. ▼
▲Waluo ni mkusanyiko wa kabila la
==Wajaluo mashuhuri==
*[[Philemon Sarungi]] -
*[[Gidi Gidi Maji Maji]] - [[Wasanii]] wa [[muziki]] aina ya [[hip hop]]
*[[Tom Mboya]] - [[mwanasiasa]] aliyeuawa [[mwaka]] [[1969]]
*[[Barack Obama]] - mwanasiasa na [[Rais]] wa [[Marekani]] ni [[mwana]] wa [[baba]] Mjaluo
*[[Jaramogi Oginga Odinga]] - mwongozi wa Wajaluo kutoka wakati wa kupigania [[uhuru]],
*[[Raila Amolo Odinga]] - mwana wa Jaramogi na mwanasiasa muhimu wa kitaifa
*[[Robert Ouko]] - waziri wa mambo ya nje aliyeuawa 1990.
*[[Daniel Owino Missiani]] - [[mwanamuziki]] Mtanzania aliyewahi kuwania tuzo la muziki aina ya rhumba nchini Kenya alifariki mwaka 2006 na kuzikwa Shirati Rorya
*[[Riaga Ogalo]] - [[mwenyekiti]] wa Wajaluo Afrika Mashariki
*[[Odemba Kagose]] - [[mtemi]] wa Buturi
*[[Ochuodho Awino]] - mtemi wa Kamageta
*[[Mirimbo Oreck Ragare]] - mzee wa kwanza Kamageta kununua [[baiskeli]], alikufa mwaka 1999 katika [[kijiji]] cha Osiri.
*[[Daniel Opanga Oole]] wa Kamageta (baba wa [[balozi]] Joshua Watson Opanga) - mwanzilishi wa [[kanisa]] la [[Wamenno|Wamenonite]] huko Kamageta, [[kata]] ya Roche, Rorya, alifariki mwaka 1992
*[[Timothy Apiyo]] - [[waziri mkuu]] mstaafu wa Tanzania
==Viungo vya nje==
Line 22 ⟶ 31:
[[Jamii:Makabila ya Kenya]]
[[Jamii:Makabila ya Tanzania]]
[[Jamii:Mkoa wa Mara]]
[[Jamii:Mkoa wa Mara]]
[[Jamii:Kaunti ya Kisumu]]
|