Wamijikenda : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 1:
'''Mijikenda''' ("miji au makabila tisa": "[[kenda]]" ni [[Kiswahili]] asilia kwa [[namba]] 9) ni [[jina]] la kutaja jumla vikundi [[tisa]] kwenye pwani la [[Kenyapwani]]. ya "[[KendaKenya]]" ni Kiswahili asilia kwa. namba 9. Vikundi hivi wakati mwingine huitwa [[Ukoo|koo]], wakati mwingine [[Kabila|makabila]]. WatazamiwaWatazamwa kuwa vikundi ya pekee vinavyoshirikianavinavyoshiriki [[lugha]] moja kwa [[lahaja]] mbalimbali.
 
[[Idadi]] yao ilikuwa takriban 750,000 manmomnamo [[mwaka]] [[1980]].
 
==Historia==
[[Utamaduni]] wa Mijikenda ulikua na kuendelea katika [[mazingira]] ya [[miji]] ya [[Waswahili]] lakini tofauti na [[Waswahili]] wenyewe.
Kwa jumla waliwahi kuitwa na watu wa nje pia "Wanyika" yaani watu wa [[Pori|porini]].
 
Katika [[kumbukumbu]] yao wenyewe [[asili]] yao ilikuwa eneo la Singwaya au Shungwaya katika [[kaskazini]] yamwa [[Somalia]] wakasukumwa kwneda kusikwenda ni[[kusini]] na uenezajiuenezi wa [[Waoromo]].
 
[[Wataalamu]] wengine hukubali [[kiini]] cha kweli katika masimulizi hayahayo, wengine huona mijikenda ni [[kundi]] lililotokea kutokanalililotokana na vikundi mablimbalimbalimbali.
 
==Kaya==
"Mji" wa jina "Mijikenda" ulikuwa kiasili mahala pa [[kaya]] au mahali [[patakatifu]] ambako kundi likakusanyika kupeleka maombi mbele wakwa [[mizimu]]. Kaya hizihizo zatunzwa hadi leo, hata kama idadi kubwa wamekuwa ama [[Waislamu]] au [[Wakristo]]. Ziko kwenye [[vilima]] vilivyopo nyuma ya pwani lenyeweyenyewe.
 
==Vikundi==
Mstari 24:
*[[Warabai]]
*[[Wajibana]]
*[[WagiriamaWagiryama]].
 
Wadigo wako kusini kabisa, wakiingia hadi [[Tanzania]] ya leo.
 
==Viungo vya Nje==