Wamijikenda : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 1:
'''Mijikenda''' ("miji au makabila tisa": "[[kenda]]" ni [[Kiswahili]] asilia kwa [[namba]] 9) ni [[jina]] la kutaja jumla vikundi [[tisa]] kwenye
[[Idadi]] yao ilikuwa takriban 750,000
==Historia==
[[Utamaduni]] wa Mijikenda ulikua na kuendelea katika [[mazingira]] ya [[miji]] ya [[Waswahili]] lakini tofauti na [[Waswahili]] wenyewe.
Kwa jumla waliwahi kuitwa na watu wa nje pia "Wanyika" yaani watu wa [[Pori|porini]].
Katika [[kumbukumbu]] yao wenyewe [[asili]] yao ilikuwa eneo la Singwaya au Shungwaya
[[Wataalamu]] wengine hukubali [[kiini]] cha kweli katika masimulizi
==Kaya==
"Mji" wa jina "Mijikenda" ulikuwa kiasili mahala pa [[kaya]] au mahali [[patakatifu]] ambako kundi likakusanyika kupeleka maombi
==Vikundi==
Mstari 24:
*[[Warabai]]
*[[Wajibana]]
*[[
Wadigo wako kusini kabisa, wakiingia hadi [[Tanzania]] ya leo.
==Viungo vya Nje==
|