Ali Hassan Mwinyi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary Tags: Hariri ya simu Hariri ya wavuti ya rununu |
No edit summary |
||
Mstari 23:
}}
{{History of Tanzania}}
'''Ali Hassan Mwinyi''' (amezaliwa [[8 Mei]] [[1925]]) alikuwa Rais wa Pili wa [[Tanzania]] kuanzia 1985 hadi 1995. Aliyemtangulia ni [[Mwalimu Julius Nyerere]], na aliyemfuata ni [[Benjamin Mkapa]].
Kabla ya hapo alikuwa Rais wa Tatu wa [[Zanzibar]] kuanzia [[mwaka]] [[1984]] hadi [[1985]]. Aliyemtangulia ni [[Aboud Jumbe Mwinyi]] na aliyemfuatia ni [[Idris AbdulWakil Nombe]].
Kabla hajachaguliwa kuwa Rais, Mwinyi alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani na Makamu Rais. Pia alikuwa mwenyekiti wa [[Chama Cha Mapinduzi]] (CCM) kuanzia 1990 hadi 1996.▼
▲Kabla hajachaguliwa kuwa Rais, Mwinyi alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani na Makamu Rais.
Mwinyi alizaliwa kwenye [[kisiwa]] cha [[Unguja]] (Zanzibar).
Wakati wa urais wa Mwinyi, sera za [[Ujamaa]] zilianza kugeuzwa. Badala yake sera za [[soko
Sera za soko
==Heshima na Tuzo==
|