Wanyiha : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Tags: Mobile edit Mobile web edit
Mstari 5:
Wanyiha wamezungukwa na makabila mbalimbali wakiwemo [[Wasafwa]], [[Wandali]], [[Wanyakyusa]], [[Wabungu]] na [[Wanyamwanga]].
 
Wanyiha walio wengi ni [[wakulima]]: [[zao]] kuu la [[chakula]] ni [[mahindi]] wakati zao kubwa la [[biashara]] ni [[kahawa]].wanyiha wengi wanapatikana wilaya ya mbozi...kabila hili katika utamkaji wa maneno hufanana sana na wasafwa na wamalila....wanyiha ni wapole na wasikivu...baadhi ya koo za kinyiha ni mwashiozya,mwashiuyà,mwembe,nzunda,mwembe na zingine...chifu wa wanyiha ni Nzunda...
 
==Marejeo==