Wanyiha : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Tags: Mobile edit Mobile web edit |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Wanyiha''' ni [[kabila]] la [[watu]] wa [[ [[Tanzania]] ([[Wilaya ya Mbozi]],
Tena wako [[Zambia]], [[Malawi]] na sehemu nyingine. Kwa jumla ni zaidi ya 600,000.
Inasadikiwa Wanyiha ni moja ya makabila ya [[Kibantu]] yenye [[asili]] ya [[Afrika Kusini]].
[[Lugha]] yao ni [[Kinyiha]]. Kabila hili katika utamkaji wa maneno hufanana sana na [[Wasafwa]] na [[Wamalila]].
Line 7 ⟶ 11:
Wanyiha wamezungukwa na makabila mbalimbali wakiwemo [[Wasafwa]], [[Wandali]], [[Wanyakyusa]], [[Wabungu]] na [[Wanyamwanga]].
Wanyiha walio wengi ni [[wakulima]]: [[zao]] kuu la [[chakula]] ni [[mahindi]] wakati zao kubwa la [[biashara]] ni [[kahawa]]
==Marejeo==
|