Alfabeti ya kifonetiki ya kimataifa : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
:
No edit summary
 
Mstari 1:
'''Alfabeti ya kifonetiki ya kimataifa''' (ing.kwa [[Kiingereza]]: International Phonetic Alphabet, kifupi '''IPA''') ni mfumo wa [[alfabeti]] inayolengaunaolenga kuonyesha [[sauti]] za [[lugha]] zote [[duniani]]. Imetungwa na [[wataalamu]] wa [[isimu]] wanaoshirikiana katika [[Shirika yala Kimataifa yala Fonetiki]] (International Phonetic Association). Inatumiwa na watunga [[kamusi]], [[walimu]] na [[wanafunzi]] wa lugha za kigeni, [[wanaisimu]] na wafasiri kote duniani. Kwa hiyo tunakuta [[alama]] zake katika kamusi na mara yninginyingi pia kwenye makala za wikipedia[[Wikipedia]].
 
Msingi wa IPA ni [[alfabeti ya Kilatini]] pamoja na [[herufi]] za pekee zilizochukuliwa kutoka alfabeti nyingine. Herufi hizihizo zinaunganishwa na alama za pekee.
 
Mfano ni alama zinazoonyesha sauti tofauti ambazo mara nyingi zinaonyeshwa kwa herufi "[[A]]" ambazo zinaweza kuwa na sauti tofauti katika lugha na [[lahaja]] mbalimbali kama vile a {{Audio|Open front unrounded vowel.ogg|▶}} , ɐ {{Audio|Near-open central unrounded vowel.ogg|▶}}, ɑ {{Audio|Open back unrounded vowel.ogg|▶}}, ɒ {{Audio|Open back rounded vowel.ogg|▶}}, æ {{Audio|Near-open front unrounded vowel.ogg|▶}}, ɑ̃ au ʌ {{Audio|Open-mid back unrounded vowel.ogg|▶}} ''(boyfabofya [[pembetatu]] ndogo kwa kusikia sauti)''.
 
Orodha ya alama zote za IPA pamoja na sauti inapatikana katika wikipediaWikipedia ya Kijerumani hapa [[:de:Liste_der_IPA-Zeichen]]
 
Tangu masahihisho ya [[mwaka]] [[2005]]<ref>"IPA: Alphabet". Langsci.ucl.ac.uk. Archived from the original on 10 October 2012. Retrieved 20 November 2012.</ref> kuna herufi 107 na alama za pekee 56.
 
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-lugha}}
 
[[Jamii:alfabeti]]