Vwawa : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Tags: Mobile edit Mobile web edit
d Masahihisho aliyefanya 41.223.119.38 (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na Riccardo Riccioni
Tag: Rollback
Mstari 19:
}}
 
'''Vwawa''' ni [[jina]] la [[mji]] na [[makao makuu]] ya mkoa[[Wilaya ya Mbozi]] katika [[Mkoa wa Songwe]], pia ni [[jimbo]] la [[uchaguzi]] nchini [[Tanzania]].
 
[[Mji]] huo unapatikana [[Nyanda za Juu za Kusini]] [[mkoa]] mpya wa Songwe (zamani sehemu ya [[mkoa wa Mbeya]]) tena na ni makao makuu ya [[mkoa]] huo.
Mstari 31:
Mji huu umepitiwa pia na [[reli]] ya [[TAZARA]] kutokea jijini Dar es Salaam hadi [[Kapiri Mposhi]] nchini Zambia.
 
Mji huu una wenyeji ambao ni [[Wanyiha]], [[Wandali]] na [[Wanyamwanga]] na baadhi ya [[Wanyakyusa]] wapatikanao katika maeneo ya masoko na [[Ndolezi]] wilayani Mbozi, lakini pia ma[[kabila]] mengine ambayo si asili katika wilaya ya Mbozi.
Mji huu una wenyeji wa awali kabisa ambao ni makabila ya wanyiha,wanyamwanga,wandali,wanyakyusa na wasafwa.
Vwawa ni moja ya eneo zuri kabisa katika ukanda wa nyanda za juu kusini katika makazi,biashara na ufugaji.
Vwawa imegawanyika katika mitaa ambayo ni Ilolo,Haloli,Ichenjezya,Isangu,Jim road,Ilembo,Majengo,Mtambwe,Frolida,Old vwawa,Mwenge,Itemba(Igwala),Mantengu na Mtaa wa Lami.
Vwawa ni mji wa kielimu ukiwa na shule za msingi za serikali zipatazo (9) na nyingine kadhaa za watu binafsi ambazo kwa pamoja zinakidhi kabisa mahitaji ya wenyeji na wageni katika kuendeleza elimu kwa watanzania, Lakini pia shule za sekondari zipatazo 4 na nyingine za watu binafsi 3 ambazo hutoa elimu kiufasaha kabisa kwa vijana wa kitanzania waishio vwawa.
Bila kusahau uwepo wa vyuo vya ufundi na ualimu ikiwemo Ilasi na Shiwanda.
Vwawa ni sehemu ambayo imefikishiwa huduma za kijamii ikiwemo,hospitali ya mkoa wa songwe,maji ya kutosha,Barbara za kila mtaa,umeme,mahakama,jeshi la polisi,jeshi la magereza,idara ya uhamiaji,huduma za kifedha na mengine mengi.
Kwa wale wapenda michezo vwawa ina viwanja bora vya michezo ikiwemo kiwanja bora zaidi ccm vwawa,uwanja wa magereza,uwanja wa shule ya sekondari vwawa,uwanja wa tacri na uwanja wa shule ya msingi vwawa.
Lakini pia kwa wapenda burudani vwawa kuna viwanja mbalimbali ikiwemo Hekima,Skylux nightclub, Rich Rich inn, Songwe Cairo,Southern Garden,Highway na nyingine nyingine zinazotoa huduma zote za kibinadamu.
Karibuni Vwawa, Karibuni Tanzania
Sisi Wana Vwawa Tunasema
Ujio wenu ndio Maendeleo ya Vwawa yetu.
 
Mji huu una [[mitaa]] yake ambayo ni: Old Vwawa, Ilolo, Mwenge, Ichenjezya, Ilembo, Frolida, Mbimba Itemba, Mtambwe, Jim road, Isangu, Ichenjezya, Mbugani na Vwawa day.
Imehaririwa na kurekebishwa na:
 
Umoja wa vijana wasomi Vwawa
Mji huu umetoa [[wasomi]] wengi sana ambao ni [[chachu]] ya [[maendeleo]] kwa nchi ya Tanzania.
 
Mji huu umezungukwa na [[huduma]] mbalimbali za kijamii ikiwemo za [[serikali]] na watu binafsi kama vile [[shule]], [[hospitali]], [[nyumba]] za serikali, [[benki]] na huduma nyingine kama vile [[vituo vya mafuta]], [[Soko|masoko]], [[maji]] ya kutosha na [[umeme]].
 
Mji huu una [[ardhi]] nzuri ambayo si ya hali ya [[ukame]] na ambayo inaruhusu uwepo wa [[vyakula]] vya aina nyingi kwa vipindi vyote, yaani [[kiangazi]] na [[masika]].
 
[[Mlima Ng'amba]] na [[milima]] mingine ionekanayo kwa [[umbali]] ni kati ya vitu vioneshayo Vwawa kwa [[uzuri]] wa kipekee.
 
[[Kazi]] nzuri ifanywayo na [[jeshi]] la [[polisi]] pamoja na [[ukarimu]] pia [[ushirikiano]] wa watu wa Vwawa vimefanya Vwawa kuwa mji wenye [[utulivu]] muda wote.
 
Hata hivyo, mnamo mwaka [[2015]] jina la Vwawa liliingia katika vichwa vikuu vya habari nchini Tanzania baada ya kuhusishwa na [[harakati]] za kuufanya kuwa makao makuu ya mkoa mpya wa Songwe kabla ya kupitishwa kwake rasmi mnamo mwaka [[2016]].
Uwepo wa kampuni binafsi kama vile Ilasi, Unyiha, ADP na nyingine nyingi umesaidia sana sekta za [[elimu]], [[uchumi]], [[habari]] na masuala ya [[kilimo]].
 
Pia Vwawa inatoa fursa ya [[uwekezaji]] kwa [[wageni]] na wenyeji katika masuala mbalimbali. Wenyeji wa mji huu wa Vwawa wanawakaribisha sana wageni wa mikoa na wilaya nyingine ili kuwezesha mzunguko wa kibiashara na wa kijamii.
 
==Marejeo==