Antara : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Akarabu_Nge_Scorpius.png|400px|thumb|Antara (Antares) katika kundinyota yake ya Akarabu (pia: Nge) – Scorpius jinsi inavyoonekana kwa mtazamaji wa Afrika ya Mashariki]]
[[Picha: Nyota jitu kuu na jitu.png|400px|thumb|Ulinganifu wa ukubwa baina ya Antares (Antara), Simaki (Arcturus9 na Jua]]
'''Antara''' ([[ing.]] na [[lat.]] '''Antares''' pia '''<big>α</big> Alpha Scorpii''', kifupi '''Alpha Sco''', '''α Sco''') ni nyota angavu zaidi katika kundinyota ya [[
==Jina==
Antara ilijulikana kwa mabaharia Waswahili tangu miaka mingi wakifuata njia yao baharini wakati wa usiku kwa msaada wa nyota. <ref>ling. Knappert 1993</ref>. Walipokea jina hili kutoka kwa Waarabu
Kwa matumizi ya kimataifa Umoja wa Kimataifa wa Astronomia ulifuata mapokeo ya Kigiriki na kuorodhesha nyota hii kwa jina la "Antares" <ref>[https://www.iau.org/public/themes/naming_stars/ Naming Stars], tovuti ya [[Umoja wa Kimataifa wa Astronomia]] (Ukia), iliangaliwa Novemba 2017</ref>.
|