Elimuanga : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Mstari 13:
Kwa [[karne]] nyingi wataalamu katika sehemu mbalimbali za [[dunia]] walihisi ya kwamba nyota hizo zilikuwa [[mungu|miungu]] iliyoonekana kwa mbali sana. Katika [[vitabu]] vya [[dini]] vya kale kuna majadiliano juu ya tabia zao; wakati [[visasili|mitholojia]] ya [[Taifa|mataifa]] mengi iliona nyota kuwa miungu, [[Biblia]] ilifundisha ni [[taa]] zilizowekwa angani na [[Mungu]] pekee aliye [[uumbaji|mwumbaji]] wa ulimwengu.
 
Wataalamu wa kale katika nchi kama [[Uhindi]] au [[Ugiriki ya Kale]] walianza kutambua mwendo wa sayari na kuunda [[nadharia]] yuu ya uhusiano wa dunia, [[jua]] na sayari nyingine. Ndiyo chanzo cha [[imani]] ya kwamba nyota zinaweza kuwa na tabia fulani na athiraathari juu ya [[maisha]] duniani na hasa kama mtu alizaliwa wakati nyota fulani ilionekana, basi tabia zilizoaminiwa kuwa za nyota ziliweza pia kuathiri maisha ya mtu huyo. Hapa kuna asili ya "kupiga falaki" na unajimu wa kisasa. Wakati uleule wataalamu hao walitazama nyota jinsi zilivyo, kuziorodhesha na kupiga hesabu za kalenda. Orodha ya kale iliyoendelea kutumiwa kwa zaidi ya miaka 1,000 ilikuwa ya [[Klaudio Ptolemaio]] kutoka Misri.
 
===Kupanuka kwa elimu tangu kupatikana kwa darubini===