Unururifu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 3:
[[Picha:Betadecay.jpg|thumb|Mbunguo nururifu wa vyembe vya β.]]
'''Unururifu''' (kwa [[Kiingereza]] ''radioactivity''; pia: '''mbunguo
Kuna pia hali za elementi kadhaa ambazo kwa kawaida ni thabiti lakini baada ya kupokea [[nyutroni]] ya nyongeza zinakuwa nururifu. Kwa mfano [[kaboni]] ya kawaida inayoitwa <sup>12</sup>C ni thabiti. Lakini kuna pia kiwango kidogo cha <sup>14</sup>C ambayo si thabiti, ni nururifu; hali hii huitwa [[isotopi]] cha kaboni. Kaboni ya <sup>14</sup>C inatengenezwa mfululizo katika tabaka za juu ya [[angahewa]] ya [[dunia]] ambako atomu za [[nitrojeni]] zinagongwa na [[Mwali|miale]] ya [[jua]] na kupotewa na [[nyutroni]]; hizi nyutroni zinaweza kugongana tena na atomi ya nitrojeni na kujiunganisha nayo na hivyo kuunda atomi ya <sup>14</sup>C.
|