Nile ya buluu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
new photo |
No edit summary |
||
Mstari 18:
[[Picha:Nile ya buluu.png|thumb|290px|Ramani ya Nile ya buluu]]
'''Nile ya buluu''' ni [[tawimto]]
Kwa jumla Nile ya bluu inabeba [[maji]] mengi kushinda Nile nyeupe.
Ndani ya Ethiopia mto huitwa kwa jina ''Abbai'' (''mto mkubwa'', pia '''Abay''' au '''Abai''')
Baada ya kutoka Ethiopia na kuingia [[Sudan]] inaitwa kwa [[Kiarabu]]: النيل الأزرق; '''an-nīl al-azraq'''.
Ina [[Chanzo (mto)|chanzo]] chake kwenye [[kimo]] cha [[mita]] 1800 juu ya [[UB]] inapotoka katika [[Ziwa Tana]] katika nyanda za juu za Ethiopia. Kwanza inaelekea [[kusini]]-[[mashariki]] lakini
Waethiopia wengi wanasemekana
==Tazama pia==
Mstari 38:
[[Jamii:Mito ya Sudan]]
[[Jamii:Mito ya Afrika]]
[[Jamii:Mediteranea]]
|