Marie Curie : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Salomea |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Marie Curie, portrait, 1900.jpg|thumb|170x170px|Marie Curie mwaka [[1900]].]]
[[Picha:Tuzo Nobel.png|left|80px]]
'''Maria Curie''' ([[jina]] kamili: '''Maria Salomea Skłodowska-Curie''';
==Maisha==
Alizaliwa [[Poland]] kama Maria Skłodowska wakati nchi hiyo ilipokuwa chini ya [[Urusi]]. Wakati ule hapakuwa na nafasi kwa [[wanawake]] kusoma kwenye [[chuo kikuu]] nchini, hivyo akahamia [[Ufaransa]] mwaka [[1891]] akajiandikisha katika somo la [[fizikia]] akaendelea baadaye kuchukua [[digrii]] ya [[hisabati]].
Mwaka [[1895]] [[Ndoa|akaolewa]] na [[mwanasayansi]] Mfaransa [[Pierre Curie]]. Pamoja naye alifanya [[utafiti]]
Alikufa kutokana na [[kansa]] ya [[damu]] (
== Viungo vya
{{commons|Marie Curie}}
* [http://www.nobelprize.org/physics/laureates/1903 1903 Nobel Prize in Physics] and [http://www.nobelprize.org/chemistry/laureates/1911 1911 Nobel Prize in Chemistry] – Tovuti ya kamati ya Tuzo ya Nobel kwa Kiingereza
|