Oran : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Oran''' (kwa Kiarabu: وَهران, ''Wahrān'') ni mji muhimu wa pwani kaskazini-magharibi mwa Algeria. Ndio wa pili nchini baada...'
(Hakuna tofauti)

Pitio la 14:39, 19 Machi 2019

Oran (kwa Kiarabu: وَهران, Wahrān) ni mji muhimu wa pwani kaskazini-magharibi mwa Algeria.

Ndio wa pili nchini baada ya mji mkuu Algiers kwa biashara, viwanda na elimu.

Wakazi walihesabiwa kuwa 759,645 mwaka 2008,[1] lakini jiji lote linakadiriwa kuwa na watu 1,500,000[2][3].

Tanbihi

  1. The provinces of Algeria and all cities of over 25,000 inhabitants. Iliwekwa mnamo 2008-04-14.
  2. Messahel, Abdellah (1 June 2008). "Une périurbanisation officielle dans un site contraignant". Espace populations sociétés. Space populations societies (2008/1): 89–99. doi:10.4000/eps.2408. Retrieved 23 June 2018. 
  3. About Oran—from the city's website.

Viungo vya nje

  Oran travel guide kutoka Wikisafiri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu maeneo ya Algeria bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Oran kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.