Kenya : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 225:
 
Mnamo Mei 1953, walinzi wa nyumbani walitambulika rasmi kama [[askari wa usalama]]. Askari hao wa nyumbani ndio waliounda kikosi cha kupambana na mikakati ya Mau Mau kwani walikuwa Waafrika waaminifu, na si majeshi ya kigeni kama Jeshi la Uingereza na King's African Rifles. Kufikia mwisho wa hali ya hatari, askari hao walikuwa wamewaua Mau Mau 4886, ambao ni asilimia 42% ya waasi wote. Kukamatwa kwa [[Dedan Kimathi]] huko [[Nyeri]] tarehe [[21 Oktoba]] [[1956]] kuliashiria kushindwa kwa Mau Mau kukamaliza vita.
==Gdp=
 
'''84.000''' Billioni {{Increase}}
=== Baada ya uhuru ===
[[Picha:25332612.nairoboi013.JPG|thumb|260px|[[Sanamu]] ya Jomo Kenyatta mjini Nairobi.]]