Kimbunga : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Idai |
No edit summary |
||
Mstari 1:
<center>''
[[Picha:Hurricane Katrina August 28 2005 NASA.jpg|thumb|right|300px|Kimbunga ya "Katrina" juu ya Ghuba ya Meksiko - picha kutoka [[chombo cha angani]] tar. 28 Agosti 2005]]
[[Picha:Animated hurricane.gif|thumb|right|250px|Picha ya [[rada]] ya kimbunga upande wa kaskazini ya [[ikweta]] inaonyesha mwendo wake]]
[[Picha:Idai 2019-03-15 0750Z.jpg|300px|thumb|Kimbunga Idai mnamo 15-03-2019, wakati wa kufika kwenye mwambao wa Msumbiji (ziwa inayoonekana katikati juu ni Ziwa NYassa)]]
'''Kimbunga''' (
==Tabia za vimbunga==
Vimbunga huwa na eneo la shinikizo duni kwenye [[kitovu]] chake ''(low-pressure center)''. Upepo mkali unazunguka haraka kitovu hiki karibu na uso wa bahari au uso wa nchi ''(closed low-level atmospheric circulation, strong winds)''.
Huanza juu ya [[bahari]] ya [[tropiki|kitropiki]]
Vimbunga vinatokea katika [[bahari]] zote
== Hatari za
Kimbunga
Hatari zinazofuata ni hasa kasi ya [[upepo]] pamoja na kiasi kikubwa cha [[mvua]]. Kasi ya upepo inaweza kuinua vitu vizito kama [[miti]],
Barani [[Afrika]] ndiyo [[Msumbiji]] pamoja na nchi jirani iliyoona mara kwa mara uharibifu kutokana na dhoruba. Mwaka [[2019]] kimbunga kilichoitwa Idai<ref>[https://www.bbc.com/swahili/habari-47578953 Kimbunga Idai: Msumbiji katika hatari kimbunga kingine kikali kikitua], tovuti ya BBC-Kiswahili tar 15-ß3-2ß19</ref> kiliharibu [[Beira (Msumbiji)|mji mkubwa wa Beira]] na kusababisha [[Kifo|vifo]] hadi [[Zimbabwe]] na [[Malawi]]<ref>[https://www.bbc.com/swahili/habari-47621240 Kimbunga Idai: Serikali ya Tanzania imetoa msaada kwa nchi za Msumbiji, Malawi na Zimbabwe], tovuti ya BBC Kiswahili, 19-03-2019</ref>.
== Majina ya Vimbunga ==
Kila sehemu ya [[dunia]] kimbunga kina [[jina]] lake na majina haya yameanza kutumiwa kimataifa:
* Katika eneo la [[Atlantiki]] ([[Karibi]] hasa) kimbunga huitwa hurikan ([[
* katika eno la [[Pasifiki]] kaskazini kimbunga huitwa taifuni ([[:en:typhoon]])
* katika eneo la [[Bahari Hindi]] na Pasifiki kusini jina la saikloni ([[:en:cyclone]]) limetumiwa mara nyingi
Vimbunga hutokea mara kwa mara katika
[[Atlantiki]] inaona takriban vimbunga [[kumi]] au zaidi kila mwaka. Hupewa majina kufuatana na [[alfabeti]]. Imekuwa kawaida tangu mwaka [[1979]] kutumia majina ya kiume na ya kike kwa
Wataalamu wanatumia orodha [[sita]] ya majina hivyo jina linaweza kurudia baada ya miaka sita.
Kimbunga ya "[[Katrina (kimbunga)|Katrina]]" kilichoharibu [[mji]] wa [[New Orleans]] katika [[Agosti]] [[2005]] kilikuwa kimbunga cha 11 cha mwaka [[2005]]. Kilifuata kimbunga "Jose" na kufuatwa na "Lee" halafu "Maria". Kama kimbunga
==Marejeo==
|