Jamhuri ya Kijamaa ya Kisovyeti ya Kikazakhi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 42:
|}
'''Jamhuri ya Kisovyeti ya Kijamii ya Kikazakhi'''
Yenye eneo la [[km²]] 2,717,300
Tangu Desemba 1991 imekuwa nchi == Historia ==
Jina la nchi limetokana na [[Wakazakhi]] ambao ni taifa la watu
Eneo liliwahi kuwa sehemu ya [[milki]] mbalimbali lakini tangu [[karne ya 15]] Wakazakhi walijaribu kuungana mata kadhaa bila mafanikio ya kudumu.
Tangu [[karne ya 17]] milki ya Urusi ilianza kuenea katika [[Asia ya Kati]] na hadi mwaka [[1865]] eneo lote la Kazakhstan lilitawaliwa na Urusi.
Baada ya [[mapinduzi ya Urusi ya 1917]] [[Wakomunisti]] walichukua nafasi ya Ma[[tsar]] wa awali wakafanya nchi kuwa jamhuri yenye kiwango cha kujitawala ndani ya Jamhuri ya Kirusi ya Umoja wa Kisovyeti.
Mwaka [[1936]] nchi ilipewa [[cheo]] cha jamhuri kamili ndani ya Umoja wa Kisovyeti. Katika miaka iliyofuata [[Warusi]] na watu wa [[Taifa|mataifa]] mengine ya Umoja huo walihamishwa nchini hadi Wakazakhi kubaki kuwa chini ya [[nusu]] ya wakazi wote.
Miaka 1990/1991 wakati wa kuporomoka kwa Umoja wa Kisovyeti jamhuri ilijiondoa polepole. Kiongozi wa chama cha kikomunisti cha Kazakhstan [[Nursultan Nasarbajew]] alitangaza uhuru na kuwa rais wa kwanza akiendelea kutawala jinsi awali.
== Uchumi ==
Wakomunisti walifanya
Umoja wa Kisovyeti ilijenga uwanja wa [[roketi]] wa [[Baikonur]] uliokuwa kituo kikuu cha kurusha [[vyombo vya angani]].
[[Jamii:Umoja wa Kisovyeti]]
|